Ni mapngo maalumu kuweni makini

Ni mapngo maalumu kuweni makini

Watu wanapambana na maisha magumu, wewe unaleta akili za mpango maalum sijui wa nini!?, au ndo zile changamoto za Afya ya akili!?,., ndoa imekuwa tatizo siku hizi bila kujali dini Wala dhehebu, anakuja mtu analeta story za sijui mpango wa kudhoofisha ukristo, unaishi sayari gani mwenzetu!?,hiihii?
Huwezi elewa nisemalo,mpaka ukutane nalo ila sikumojq utaelewa wanadam ni wajanja sana ogopa sana matapeli wa mapenzi.
 
Huwezi elewa nisemalo,mpaka ukutane nalo ila sikumojq utaelewa wanadam ni wajanja sana ogopa sana matapeli wa mapenzi.
Mkuu wahi hospitali una changamoto kubwa, ugumu wa maisha kwenye jamii unapelekea hii story yako iwe ya kusadikika, amka, zinduka yaweza kuwa unaota, usije ukakojoa kitandani. Thread yako imejaa PUMBA.
 
Vijana wa kikisto wanachukua muda sana kufanya maamuzi ya kuoaa.

Fika makanisani wadada wamejazana wanasali kuomba kupata mume mume boraaa .... vijana wanasali kuomba kupata mafanikio kwa wakati huu ....
 
Waislamu hawajawahi kuwa na mpango wowote wa kutokomeza ukristo tangu uislamu unaanzishwa na wala haitowahi kutokea uislamu kupanga mipango ya kutokomeza ukristo. Vita vyote Waislamu wanapigana huwa nivyakujibu mashambulizi na chokochoko zinaazishwa na wakristo someni history vizuri
 
Kuna hilo jambo kwa sasa wengi wanaona la kawaida tu lkn si la kawaida kiivyo ni mpango wa kudhoofisha ukristo, kuna wadada wengi kwa sasa wakristo kuolewa na wakaka ambao si wakristo wengi wanafikiri ni mapenzi tu ya kawaida la hasha kuna mpango maalum wa kudhoofisha ukristo hawa wadada wakiolewa huzaa watoto ambao si wakristo hata vijana wa kiume ukiingia kwa binti ambaye si mkristo bas jua watoto wako hawatakuwa wakristo watahamia kwa mama hyo utake ama usitake hata kama hutaki mzee utasomewa wewe mwenyewe utakubali wadada wakristo nawaonyq sana msione kijana asiye mkristo anataka kukuoa kisa ana vipesa vyake ukashawishika na nguvu ya pesa umepotea na utajuta mbele ya safari,mwanzo sikujua jambo hili liko hivi nawaonya wadada wakristo acheni tamaa ya fedha,biblia imeonya sana usifungiwe nira na asiyeamini shetani yuko kazini kuupoteza ukristo kuweni makini.
Kwani lazima watu wote wawe Wakristo?

Watu wakielewana wenyewe kwenye ndoa zao wewe inakuhusu nini?
 
Vijana wa kikisto wanachukua muda sana kufanya maamuzi ya kuoaa.

Fika makanisani wadada wamejazana wanasali kuomba kupata mume mume boraaa .... vijana wanasali kuomba kupata mafanikio kwa wakati huu ....
Huyu kachukua kisa kimoja kafanya ni tatizo la jamii yote. Anaongea vitu ambavyo haviwezekani, watu wapo bize kutafuta riziki, muda wa kudhoofishana kidini utoke wapi!?,..
 
Hilo halizuiliki, dini kwa bongo zitadhoofika kama unavyodhoofika ukabila, intermarriage iko juu sana. Tuko tofauti na majirani zetu wa East Africa ambao hawaoleani kwa sababu za kidini kikabila ama kisiasa
 
Kumbe ulikuwa hulijui?
Huu mkakati ni mmoja ya Mikakati ya Dini ya Uislam ya kupambana na Ukristo!
 
Mmh watu mnapenda udini sana vinawasaidia Nini? Maisha magumu pesa inatafutwa Kwa tabu watu mpo buzy na kujadili vitu ambavyo hatujui ni vya kweli ama laah tumevikuta tu
 
Back
Top Bottom