Ni mapngo maalumu kuweni makini

Ni mapngo maalumu kuweni makini

Asili ya familia yet huko ilipotoka hasa ulipoanza kuingia ukristo nchini palitokea mgawanyiko uliosababisha ndugu zetu wengine kuwa waislam na wengjne wakristo. Kwa miaka yote hii tunaishi vizuri . Sijawahi kuskia baba au mama akituhamasisha kuwatenga ndugu zetu. Shangazi yetu alipofariki baba alienda huko akawa kiongozi wa namna ya kuhakikisha ndugu yake azikwa bila kudhalilika. Hakika tunaishi vizuri licha ya kelele hizi zote. Babu mara kadhaa alikuwa akitukumbusha kwamba kabla ya mwaka 1940 wao walikuwa wapagani wakiishi kwa raha na starehe iweje Leo tutengane?
Nb.
Poster wa uzi huu unajiumizA tu kichwa kuhangaikia mambo yaso muhimu wakiristo na waislam vice-versa kila siku wanabadili dini. Na wengi kati yao hawana hata misimamo thabiti ya dini zao.kaa kwa kutulia sisi ni wamoja
 
Kwa hizi Akili, Utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi ni mgumu sana. Akili za hovyoooo
 
Ni kweli. Ni mpango wa waislamu na wanafundishwa misikitini.
Wakristo tuamke sasa. Na hii tabia familia ya kikristo inazaa mtoto mmoja au wawili nalo ni tatizo.
Wenzetu Wana option ya wake 4 , hata Kila mmoja akizaa 2 ni 8.
Tuamke. Namba ndogo kabisa ya mwanaume mlegevu Kwa Babu zetu ilikuwa 4.
Mi nimekulia kwenye familia mtu kukupigia watoto 9 hadi 12 ni mchezo tu Tena mwanamke mmoja.
 
Jamaa amepaniki mpaka ameshindwa kuweka alama za uandishi
 
Kuna hilo jambo kwa sasa wengi wanaona la kawaida tu lkn si la kawaida kiivyo ni mpango wa kudhoofisha ukristo, kuna wadada wengi kwa sasa wakristo kuolewa na wakaka ambao si wakristo wengi wanafikiri ni mapenzi tu ya kawaida la hasha kuna mpango maalum wa kudhoofisha ukristo hawa wadada wakiolewa huzaa watoto ambao si wakristo hata vijana wa kiume ukiingia kwa binti ambaye si mkristo bas jua watoto wako hawatakuwa wakristo watahamia kwa mama hyo utake ama usitake hata kama hutaki mzee utasomewa wewe mwenyewe utakubali wadada wakristo nawaonyq sana msione kijana asiye mkristo anataka kukuoa kisa ana vipesa vyake ukashawishika na nguvu ya pesa umepotea na utajuta mbele ya safari,mwanzo sikujua jambo hili liko hivi nawaonya wadada wakristo acheni tamaa ya fedha,biblia imeonya sana usifungiwe nira na asiyeamini shetani yuko kazini kuupoteza ukristo kuweni makini.
😎😎😎 Mfia dini mjinga kabisa wewe, waowe wewe basi hao dada zako wakiristu.
 
Kwahyo unataka kuniambia niachane na mwajuma kishepu mshumaa kulinda dini yang
 
Huu labda uko Tanzania pekee ila dunia nyingine ukristo unashika Kasi sana ndio maana hata kina Mo Salah wanasherekea Christmas na Dubai Christmas tree huwekwa Kila mahali ila hata hapa tz Kuna waislam wengi sana wanasilimishwa pale kwa mwamposa na kuhani musa
 
Kuna hilo jambo kwa sasa wengi wanaona la kawaida tu lkn si la kawaida kiivyo ni mpango wa kudhoofisha ukristo, kuna wadada wengi kwa sasa wakristo kuolewa na wakaka ambao si wakristo wengi wanafikiri ni mapenzi tu ya kawaida la hasha kuna mpango maalum wa kudhoofisha ukristo hawa wadada wakiolewa huzaa watoto ambao si wakristo hata vijana wa kiume ukiingia kwa binti ambaye si mkristo bas jua watoto wako hawatakuwa wakristo watahamia kwa mama hyo utake ama usitake hata kama hutaki mzee utasomewa wewe mwenyewe utakubali wadada wakristo nawaonyq sana msione kijana asiye mkristo anataka kukuoa kisa ana vipesa vyake ukashawishika na nguvu ya pesa umepotea na utajuta mbele ya safari,mwanzo sikujua jambo hili liko hivi nawaonya wadada wakristo acheni tamaa ya fedha,biblia imeonya sana usifungiwe nira na asiyeamini shetani yuko kazini kuupoteza ukristo kuweni makini.
Huu pia nao ni utumwa wa kifikra
 
Dini ni kiwango kingine Cha ujinga wa mwanadamu hasa mtu mweusi.
 
Kuna hilo jambo kwa sasa wengi wanaona la kawaida tu lkn si la kawaida kiivyo ni mpango wa kudhoofisha ukristo, kuna wadada wengi kwa sasa wakristo kuolewa na wakaka ambao si wakristo wengi wanafikiri ni mapenzi tu ya kawaida la hasha kuna mpango maalum wa kudhoofisha ukristo hawa wadada wakiolewa huzaa watoto ambao si wakristo hata vijana wa kiume ukiingia kwa binti ambaye si mkristo bas jua watoto wako hawatakuwa wakristo watahamia kwa mama hyo utake ama usitake hata kama hutaki mzee utasomewa wewe mwenyewe utakubali wadada wakristo nawaonyq sana msione kijana asiye mkristo anataka kukuoa kisa ana vipesa vyake ukashawishika na nguvu ya pesa umepotea na utajuta mbele ya safari,mwanzo sikujua jambo hili liko hivi nawaonya wadada wakristo acheni tamaa ya fedha,biblia imeonya sana usifungiwe nira na asiyeamini shetani yuko kazini kuupoteza ukristo kuweni makini.
Mwislamu haoi kafiri mpaka asilimu ndo kuwe na ndoa, hao wote ni wazinzi tu na haijalishi watoto wataitwaje wakirsto au vinginevyo kama huna Ibada na hufuati maagizo ya Muumba Hilo jina halitakusaidia, weka wazi hao wenye mpango huo ni nani?
 
Didy wa Los Angeles nashauri wakristo wasiingie kweny mpango huo harabu waendelee tu na mipango ya nabii suguye na mwamposa
 
Suala la kuwahimaza watu waache kuona kisa dini zao ni ukumanyoko wa hali ya juu so naomba muache kujadili huu ukumanyoko hapa.

Mbona kwenye masuala ya kijamii waislamu, wakristo na wapagani wanasaidiana kwa nini muwazuie watu wa dini tofauti.

Achani ukumanyoko tafadhali sana.
 
Kuna hilo jambo kwa sasa wengi wanaona la kawaida tu lkn si la kawaida kiivyo ni mpango wa kudhoofisha ukristo, kuna wadada wengi kwa sasa wakristo kuolewa na wakaka ambao si wakristo wengi wanafikiri ni mapenzi tu ya kawaida la hasha kuna mpango maalum wa kudhoofisha ukristo hawa wadada wakiolewa huzaa watoto ambao si wakristo hata vijana wa kiume ukiingia kwa binti ambaye si mkristo bas jua watoto wako hawatakuwa wakristo watahamia kwa mama hyo utake ama usitake hata kama hutaki mzee utasomewa wewe mwenyewe utakubali wadada wakristo nawaonyq sana msione kijana asiye mkristo anataka kukuoa kisa ana vipesa vyake ukashawishika na nguvu ya pesa umepotea na utajuta mbele ya safari,mwanzo sikujua jambo hili liko hivi nawaonya wadada wakristo acheni tamaa ya fedha,biblia imeonya sana usifungiwe nira na asiyeamini shetani yuko kazini kuupoteza ukristo kuweni makini.
Ukobazi ni shida sana duniani
 
Back
Top Bottom