Ni maandamano au ni mapinduzi?

Ni maandamano au ni mapinduzi?

Ndoto za nchi za wenzenu endeleeni kuziota tu.....Not in Tanzania..mtuachie kisiwa chetu cha amani.
Wanachoshindwa kufahamu ni kwamba Rais Magufuli tumemchagua kwa njia ya kidemokrasia na ana muda mfupi madarakani.
 
Hakuna maandamano ya amani yenye lengo la Revolution. Nakataa. Polisi na JWTZ msipumbazike na hii hadaa ya wanyonya koni. Jiandaeni kisawasawa kutumia silaha zote
Kumbe ndo ulichokuja kuuliza!!??umejibiwa sasa unashauri waumizwe/wauliwe watakaondamana kwa amani...anyway tushajua janja yako mzee..ha ha haaa
 
Kumbe ndo ulichokuja kuuliza!!??umejibiwa sasa unashauri waumizwe/wauliwe watakaondamana kwa amani...anyway tushajua janja yako mzee..ha ha haaa
Hahahahahahahaaaaaaa. Na tunachimba kabisa makaburi ya kuzikwa kwa pamoja
 
Acha kutisha watu mkuu na wala usijisahau kuwa na wewe ulizaliwa kama sisi tulivyozaliwa,ndio maana sote hatujui kwa nn tumezaliwa na kuwa watanzania ama wao wamezaliwa kuwa waarabu ama wazungu.tumejikuta tu tupo tena baada ya makuuzi ya kiakili na kifikra.ikitokea mtu ana madhara na ukuaji wafikra zako ama "anazikengeuza"akili zako,wewe kama lizaboni unafanya nn!!!?haya ya "kupeperushana"mihemko yanaanzia kwa "jua"kisha "mwezi" unaakisi.jua likigoma na mwezi nao utagoma na si dhani kama na nyota nazo "zitawaka"la hasha.mkuu kuna muda watawala wanatembea kwa miguu lakini wanaangalia juu kisha wakijikwaa hawasemi kama wanaangalia juu tyu bali hutafutwa kijiwe kilicho waangusha."kimya kingi kina mshindo.......lakini mtakuja sema mshindo una kimya kingi"
ww unayejiifanya unauchungu sana nani yani ninyi watu mia mnaolala mika maisha magumu mfanye mapinduzi hakutakuwa na mabomu ya machozi kutakuwa na smg, rpg mmg na zote za maana kudadadeki bora mfe tu
 
Napata ukakasi kama kweli hio siku watanzania wataandaman?kama tu waliweza kukimbia panya road ,,,,anyway nilipokua mdogo nilisema wakubwa wanafaid kweli kuwa na wanawke wazuri,magari mazur ,nyumba nzuri ,nilitaman sana niwe mkubwa,sasa hatimae nimekuwa mkubwa, nyie andamaneni tu kwakwel mi natimiza ndoto yangu ya utoton aisee
Magari na wanawake ni ndoto yako. Kuishi kidemokrasia na haki ni ndoto ya taifa ya 26/4!
 
Mama yako hanyonyi koni.??US Navy wako Diego Garcia miles chache kutoka hapa..hao unaowaita "wanaume'wanaouliwa na untrained soldiers habari wanayo...vyama vyote vyenye unasaba na China lazima vife...wauwe watu mabasha watue
 
Ndiyo maana serikali imerudisha JKT ili watanzania wapate elimu zaidi kuhusu nchi na utawala na uhalali wake. JKT tulifundishwa somo la silaha kwamba; Bunduki imetengenezwa kwa dhumuni la kumuua binadamu.mwisho wa kunukuu.Maelezo ya Lizbon yako sawa kabisa.Ukija kimapinduzi maana yake utadhibitiwa kwa silaha za moto ambazo madhumuni yake hutumika kumuua binadamu. Mange na kundi lake hawakupitia JKT hawajui ni wakati gani askari hubadilika na kuwa mnyama, wasubiri hiyo tarehe waliyoitaja watashuhudia askari wanavyobadilika ktk kuhakikisha wanawalinda wananchi watii sheria

Hii biashara ya kutisha watu au kuogopesha watu ni ya kizamani..ingekua busara mumshauri anaesababisha hii hali.. lkn pili raia wakiandama kwa amani ata hao jwtz hawana cha kufanya zaidi ya kuwalinda na kusikiliza wanchotaka..tumeyaona kila mahali...na wakithubutu risasi the hegue inawasubiri na dunia inaona mkae mkijua hilo, so msipuuze kajipangeni kujibu kero za watu.
 
Sijamtisha mtu bali nimeeleza uhalisia. Fanyeni hayo mapinduzi dhen muone cha mtema kuni
achana naye huyó hao dawa ni kunyooshewa za moto tu si wametangaza mapinduzi inaeleweka maana yake nn mapinduzi wanajitekenya hao
 
pombe haihitaji maandamano kuimwaga, intarahamwe lazima ataendelea kuuwa watanzania..
kuna kale ka mbinu ka somalia..
 
Hapo si CCM tena. Hapo ni wazee wa kazi. JWTZ. Tena ni kitambo hawajatest mitambo yao

Naona mnakuja na post za kupotosha ili mlitumie jeshi, lakini ukweli mnaujua kwamba watu wanaandamana ili kuiambia ukweli serekali hii haitii demokrasia, usalama wa watu wasiopande wa serekali uko shakani, ajira hakuna, biashara/uchumi unadondoka kwa kasi. Hivyo hayo maandamano yatakuwa makubwa sana ili umma upaze sauti kwamba umechoka na hali hiyo. Hivyo kutumia jeshi ni ili kukwepa ukweli huo kuzungumzwa hadharani. Haya mnayosema ni mapinduzi mnachomekea ili mmpate sababu ya kutumia jeshi ili kukwepa ukweli.
 
Hahahahahahaaaaaaa. Hapo mmeeleweka. Siku hiyo wanaume wa Kazi watakuwa na zana zote halali. subirini mkufilie mbali wakati huyo anayewahamasisha ananyonya koni huko majuu
Wanajeshi hawajihusishi na siasa!
 
Haki ya Nani nina hamu ya kuona kwa macho nini kitatokea siku hizo. Jeshi letu limesikika kwa kudhibiti machafuko nchi za wenzetu. sasa ni zamu ya nyumbani

Nchi za wenzetu zipi? Kwani c majuzi tu tumeletewa Maiti za Ndugu zetu tukaenda kuzika au hujui unachokiongelea broo
 
Naona mnakuja na post za kupotosha ili mlitumie jeshi, lakini ukweli mnaujua kwamba watu wanaandamana ili kuiambia ukweli serekali hii haitii demokrasia, usalama wa watu wasiopande wa serekali uko shakani, ajira hakuna, biashara/uchumi unadondoka kwa kasi. Hivyo hayo maandamano yatakuwa makubwa sana ili umma upaze sauti kwamba umechoka na hali hiyo. Hivyo kutumia jeshi ni ili kukwepa ukweli huo kuzungumzwa hadharani. Haya mnayosema ni mapinduzi mnachomekea ili mmpate sababu ya kutumia jeshi ili kukwepa ukweli.
Maandamano ya kweli hayahitaji mtu awaambie. Hapo ndipo mlipofeli. Yaani hadi Mange awaambie ndo muandamane! Kweli CHADEMA mmefilisika
 
Mama yako hanyonyi koni.??US Navy wako Diego Garcia miles chache kutoka hapa..hao unaowaita "wanaume'wanaouliwa na untrained soldiers habari wanayo...vyama vyote vyenye unasaba na China lazima vife...wauwe watu mabasha watue
China inapeleka mswaada chamani kuondoa ukomo wa urais, wanademokrasia mnalo
 
Back
Top Bottom