Donasian kabengo
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 792
- 405
Kwanza ni vibo visivyo na idadi hatua nyingine itafuata
Ujue huyo jamaa alitoka mikoani pia. Ni mwenyeji pia huko uendakoKila jibu litakatokea hapa ni sahihi,
Lakini kwa Mimi nampiga faini ndefu kisha nahama na mke wangu mkoa wilaya tarafa kata kijiji au nchi kama nitaweza, ila nitahama na mke wangu, usiniulize nitahama Mara ngapi
MTO huvukwa ukifikiwa.
Kwani mumeo anachepuka?Mkuu mtusamehe na sisi tunakua tumefata radha nyingine uko nje tena vijana wako vzuri Balaa coz Ata sisi tunaumia tukiwafumania nyie uko nje.....
Je unajua kama unaweza kuwa chanzo ni wewekumuacha mke, maana ndo chanzo cha matatizo yote.
kama huyo bwana tunafahamiana na anafahamu huyo ni mke wangu sitamwacha bure ntampa stahiki yake pia na mke nafukuza
Like 10?Unamfuata, unamshukuru kwa kazi nzuri ya kukusaidia kazi uliyoshindwa kuifanya.
Hahaa,kwa hiyo huwa mnalipa kisasiUkiona mkeo anachepuka ujue na wewe ulianza kuchepuka,,,so kuwa tu mpole ubadilike wewe kwanza
Haya maamuzi yanataka uwe umevuta bangi gunia moja peke yako kwa siku mbiliUamuzi ambao ni mashuhuri ni ule ambao mwizi anakamatwa na kuliwa tigo mande huku wakimpiga picha kuna jamaa Mwanza yalimkuta ilibidi ahame mwanza..
Kuna tukio lingine ilitokeaga dar jamaa alikuwa an anamla mke wa mtu na alikuwa anamtumia mpambe kumwitia mke wa jamaa......mwenye mme kuna Siku alimkamata mpambe akamchinja na akachukua kichwa chake akaenda kukitupa kwa yule mwizi wa jamaa,jamaa kesho yake alikimbiaaaa
Mme alikamatwa alikaaa ndani miaka 6 akatoka
Kuna watu wakigongewa wake zap wana maamuzi ya hatari
Ova
kwa hadithi yako ni kuwa Mtume alikuwa anaotea majibu i mean hana jibu sahihi?Kuna muumini Mmoja alienda kwa Mtume Muhammad kutaka ushauri baada ya mwana-kijiji mwenzio kumkazia mkewe! Mtume alimshauri amuue mbaya wake! Jamaa akamjibu mtume kwamba Mungu amezuia Usiue! Mtume akamwambia kama ndivyo basi hama kijiji! Njemba anamjibu mtume kwamba haitawezekana pale kijijini kuna Maslahi yangu sanaà! Mtume akamshauri tena kwamba mpe Talaka! Njemba akamjibu Mtume kwamba mke wangu bado nampenda sana! Mtume akamwambia sina kingine wee nenda tu! Njemba akaona aende kwa seydna Omary ili apate ushauri! Akamkuta akampa kisa kizima na jinsi Mtume alivyo MSHAURI! Omary akamwambia hilo tatizo dogo sana ngoja nikupe darsa....akiingia ndani akatoka na jambia lake lililo andikwa Hakuna Mungu illaha Allah, pigo moja likasembua kichwa huku kinabiringika na kupiga kelele Omary umeniua, Omary umeniua...kazi kwako bro Asante