utaua wangapiKill them
Unafanya kama yule wa Zanzibar aliyeita :"MWIZI MWIZI"NimewazA tu kwa sauti.
Kama utamjua mwanaume anayetembea na mkeo.
Ni yapi maamuzi mazuri baina ya hawa watu wawili.
Naombeni ushauri tu.
Sky EclatUnamfuata, unamshukuru kwa kazi nzuri ya kukusaidia kazi uliyoshindwa kuifanya.
MmhUnamfuata, unamshukuru kwa kazi nzuri ya kukusaidia kazi uliyoshindwa kuifanya.
Siyaamini haya mndunghu
Mke usije ukanijaribu... nakuonya tu.
Kafanyaje?
Sipendi uumie roho hubbyMke usije ukanijaribu... nakuonya tu.
Hahahahahaha kisha unaendelea na mkeo au sioUnakaa kimya na kumuachia Mungu
Inanihusu kujua hii.NimewazA tu kwa sauti.
Kama utamjua mwanaume anayetembea na mkeo.
Ni yapi maamuzi mazuri baina ya hawa watu wawili.
Naombeni ushauri tu.
Utaacha wangapi??kumuacha mke, maana ndo chanzo cha matatizo yote.
kama huyo bwana tunafahamiana na anafahamu huyo ni mke wangu sitamwacha bure ntampa stahiki yake pia na mke nafukuza
Siyaamini haya mndunghu
Kafanyaje?
Mke usije ukanijaribu... nakuonya tu.