Yule khanithi kabisa.Unafanya kama yule wa Zanzibar aliyeita :"MWIZI MWIZI"
Huwezi kupanga maamuzi maana huwa yanatokea wakati huohuo.NimewazA tu kwa sauti.
Kama utamjua mwanaume anayetembea na mkeo.
Ni yapi maamuzi mazuri baina ya hawa watu wawili.
Naombeni ushauri tu.
Mkeo ndio anatakiwa kukufanya wewe usijue michepuko yake ila sio we et ujitaidi usijue michepuko ya mkeoMkuu utaacha wangapi. Isitoshe ukiachana na huyo unaoa Tena mke aliye zini na watu wengine (I mean sio bikira ). Jitahidi usijue michepuko ya mkeo utabaki salama. Wala usijihusishe kukomoana na mkeo kuhusu michepuko.
Yule amedharaulisha wanaume.Yule khanithi kabisa.
Mkuu mtusamehe na sisi tunakua tumefata radha nyingine uko nje tena vijana wako vzuri Balaa coz Ata sisi tunaumia tukiwafumania nyie uko nje.....NimewazA tu kwa sauti.
Kama utamjua mwanaume anayetembea na mkeo.
Ni yapi maamuzi mazuri baina ya hawa watu wawili.
Naombeni ushauri tu.
Woteutaua wangapi
Unamfuata, unamshukuru kwa kazi nzuri ya kukusaidia kazi uliyoshindwa kuifanya.
best decision..atleast it doesnt involve killing after all they are so many women out there why stick to one?....Kudos nyani ngabu!!No brainer. You dump her right then and there!