Uchaguzi 2020 Ni Maajabu: CCM inajua kuna wagombea wamepita kwa kutoa Rushwa ila TAKUKURU hawajamkamata hata mmoja nchi nzima

Inachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi

Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
Hapa ndio unafiki wa hawa jamaa unapoonekana, halafu eti unapanda jukwaani unajisifu unapambana na mafisadi na wala rushwa?? Waanzie kusafisha hao na tuwaone wakishughulikiwa na TAKUKURU.
otherwise wajiandae kupisha wengine IKULU, HAWATUFAI KABISA.
 
Waimba mapambio wa Lumumba mmelinajisi taifa, hii weakness pekee inawaondolea uhalali wa kuiongoza nchi tukufu ya Tanzania.

Kabidhini ikulu kwa Lissu afanye Reformations, nyie mrudi mtaani muendelee kubeti, maana MNA mitaji ya kutosha.
Hapa ndio unafiki wa hawa jamaa unapoonekana, halafu eti unapanda jukwaani unajisifu unapambana na mafisadi na wala rushwa?? Waanzie kusafisha hao na tuwaone wakishughulikiwa na TAKUKURU.
otherwise wajiandae kupisha wengine IKULU, HAWATUFAI KABISA.
 
Inachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi

Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
hii utaiona ccm tu
 
Inachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi

Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
mbunge mteuliwa wa MAFIA bwana Kipanga ALITOA laki 300000/ kila mjumbe 200000 kabla ya kura na 100000 baada ya matokeo. ushahidi upo na mtoaji anajulikana wazi kwa kila mtu
 
Back
Top Bottom