mwita ke mwita
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 7,848
- 3,483
WAJUMBE WATAKULA WAPI ,HUU NDIO MUDA WAO
Hapa ndio unafiki wa hawa jamaa unapoonekana, halafu eti unapanda jukwaani unajisifu unapambana na mafisadi na wala rushwa?? Waanzie kusafisha hao na tuwaone wakishughulikiwa na TAKUKURU.Inachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi
Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
Hapa ndio unafiki wa hawa jamaa unapoonekana, halafu eti unapanda jukwaani unajisifu unapambana na mafisadi na wala rushwa?? Waanzie kusafisha hao na tuwaone wakishughulikiwa na TAKUKURU.
otherwise wajiandae kupisha wengine IKULU, HAWATUFAI KABISA.
hii utaiona ccm tuInachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi
Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
mbunge mteuliwa wa MAFIA bwana Kipanga ALITOA laki 300000/ kila mjumbe 200000 kabla ya kura na 100000 baada ya matokeo. ushahidi upo na mtoaji anajulikana wazi kwa kila mtuInachekesha Sana kwamba Kama nchi tuna chombo Cha kupambana na Rushwa Ila Hadi Leo tunavyoongea Hakuna mtia Nia wa chama chochote aliyepelekwa mahakamani kwa tuhuma za kugawa Rushwa ingawa Rushwa imetembea wazi wazi
Cha kushangaza zaidi CCM Wana taarifa za baadhi ya wagombea kupitishwa kwa kutoa Rushwa Ila TAKUKURU hawana hizo taarifa kwani Kati ya walioongoza kura za maoni Hakuna aliyepo mahakamani kwa kesi ya rushwa
Sio taasisi tu mkuu, bali hata sheria nyingi zilizotungwa hasa kipindi cha utawala wa awamu ya 5 zinawalenga zaidi wapinzani tu, badala kulenga dira ya maendeleo ya Taifa letu!Taasisi nyingi nchi hii zipo kwa ajili ya wapinzani tu.