Ni lini Vyeo vya Kijeshi (Collar Insignia) vimebadilishwa hapa nchini?

I meant ni Mkaskazi, Wachagga na Wammeru ni wale wale, kama yule Mmeru anayejiita Mmasai.
Pasco
Wachaga na wameru sio watu wale wale, tamaduni zao zinatofautiana kidogo ingawa kwa lugha kimachame na kimeru hakipo mbali sana, ( ina maana hawa wanauwezo wa kusikilizana kwa kiasi flani) Ila Mirisho ni mmeru! Huyo mmeru anayejiita mmasai, atajijua mwenyewe, nampa hongera sana kwa kua moja ya binadamu waliofanikiwa kubadili makabila yao.
 
Wachaga na wameru sio watu wale wale, tamaduni zao zinatofautiana kidogo ingawa kwa lugha kimachame na kimeru hakipo mbali sana, ( ina maana hawa wanauwezo wa kusikilizana kwa kiasi flani) Ila Mirisho ni mmeru! Huyo mmeru anayejiita mmasai, atajijua mwenyewe, nampa hongera sana kwa kua moja ya binadamu waliofanikiwa kubadili makabila yao.
Mkuu Situroke, just go back to the basics, tafuta asili ya Wameru.

Jee wajua kuwa Wangoni asili yao sio Tanzania? . Asili yao ni Wamatengo waliokuja nchini wakiongozwa na Zongendamba.

Wameru ni bantustans waliotokana na semi nilitotic ndio maana pande zote wamezungukwa na nilotic ukiondoa bushmen wa Hadzabe, Wataturu na Wabarbaig.
Pasco
 
Mkuu Conservative, kwanza mimi sio afande Pasco kwa sababu sikuwa na cheo chochote, nilikuwa private tuu, hivyo mimi ni mpiganaji Pasco na sio afande Pasco.

Wakati naondoka jeshini kuja uraiani, cheo cha juu kwa CDF kilikuwa ni Luteni Generali. Wakati wa vita ya Kagera, cheo cha Juu kabisa jeshini kilikuwa Meja Generali, ambaye wa kwanza ni Maj. Gen, Mirisho Sarakikya (Mchagga), ambaye ndio mkuu wa kwanza wa jeshi, wakati wa maasi ya 1964, Srakikya alikuwa Luteni akapaishwa kuwa Kanali na kuwa CDF, hivyo CGF wetu wa kwanza alikuwa na cheo cha kanali tuu!. Kutokana na mambo fulani, ilimbidi Nyerere kumfuta kazi Sarakikya, ila ukiishafika top huwezi kufukuzwa, hivyo akatupwa Ubalozini kwa mjeshi mwenzake Mengistu Haile Mariam. Huku nyuma ndipo akampandisha Abdalah Twalipo kuwa Major Gen, na kuwa CDF.

Baada ya vita ndipo akampandisha kuwa Luteni Generali na wale mabregediea wa vita kuwa ma Meja Jeneral ili pia ilimbidi kuwanyofoa wengine jeshini na kuwatupa ubalozini kwa sababu zile zile za kumtupa Sarakikya. Baaga ya Twalipo akaja Musuguri nisha Mwita Kiaro na hapa ndipo nilipojiunga na Jeshi. Baada ya Kiaro, akaja Mboma then Waitara na sasa Mwamunyange. Ni Kipindi cha Mkapa ndipo alimpandisha Mboma kuwa full General.

Cheo cha brigedia baada ya kanali bado kipo vile vile ila majina ndio yanaongezeka zamani akiitwa bregedia tuu kavu kavu sasa anaitwa bregedia general ao one star general.

Pasco
Sarakikya ni Mmeru sio mchagga. Ushauri wa bure......
 
Sarakikya ni Mmeru sio mchagga. Ushauri wa bure......
Mkuu Samutu nisome hapa
Mkuu Samutu, just go back to the basics, tafuta asili ya Wameru.

Jee wajua kuwa Wangoni asili yao sio Tanzania? . Asili yao ni Wamatengo waliokuja nchini wakiongozwa na Zongendamba.

Wameru ni bantustans waliotokana na semi nilitotic ndio maana pande zote wamezungukwa na nilotic ukiondoa bushmen wa Hadzabe, Wataturu na Wabarbaig.
Pasco
 
Wana JF

Nimeona picha ya Meja General Gaudence Milanzi, aliyeteuliwa na kuapishwa na Rais hivi karibuni kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, kwenye blog ya Mpekuzi Huru, ikanipa Maswali.

Kwenye picha hiyo ( ambayo nimei copy na kupaste hapo chini tena), Major Generali Milanzi, anaonekana kuvaa mabegani COLLAR INSIGNIA yenye mkasi, nyota mbili na ile ngao ya bibi na bwana. Kwa uelewa wangu hicho cheo ni cha Generali Kamili, kama vile Mkuu wa Majeshi aliyepo. Japo kuwa nyota zake zimejipanga tofauti na zile za Generali kamili.

Kwa ufahamu wangu, Ma- Major Generali wanakuwa na Mkasi na nembo ya Bibi na Bwana tu, je hii picha imechakachuliwa au vyeo vimebadilishwa? Naomba mwenye taarifa atujuze kama "Collar Insignia" za kijeshi zimebadilishwa hapa nchini.



1.png
Ni swali zuri ingawa hata mimi sina jibu kamili. Kwa muda mrefu vyeo vya majenerali vilikuwa vinaambatana na upanga wakati vyeo vya maofisa wakuu chini ya jenerali walikuwa na ngao ya taifa nyekundu. Kwa hiyo kuanzia meja hadi brigadia walikuwa na ngao ya taifa na nyota tu, halafu kuanzia meja jenerali hadi jenerali walikuwa pia na upanga. Baada ya Brigadia kubadilishwa na kuwa brigadia jenerali, nadhani ilibidi mabadiliko yafanyike pia ili kuongeza upanga kwenye cheo cha brigadia jenerali kwa hivyo mpangilio mzima wa mawe mabegani mwa makamanda hao ikabidi ubadilike, sina uhakika. Hivi huyu Milanzi ndiye yule aliyekuwa meja wa JKT wakati anapata digrii ya sheria pamoja na hayati hakimu Milumbe mwishoni mwa miaka ya themanini?
 
Ah ! naskia hivyo vyeo ni mshughuliko mkubwa sana kuvipata sio lele mama aisee.Inahitajika uwe mzalendo Wa ddhati Wa taifa lako.Hivi Monduli na 92 kj (kwa makomando) wapi pachungu zaidi ? Maana naona komando akimpigia saluti afisa Wa jeshi mwenye nyota yani sielewi naomba msaada wa ufafanuzi Kwa wenye kufahamu.
 
Ukiondoa cheo cha Private, na vyeo maalum, vyeo vingine vyote vya jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, vimegawanyika mafungu matatu matatu ambao vinapisha kwa alama moja moja!.
Kwa JWZ,


Jeshi la Wananchi la Tanzania - JWTZ
tanzania-army-land-forces_03.png

Koplo mdogo Koplo Sajenti
lance corporal corporal sergeant
tanzania-army-land-forces_04.png
tanzania-army-land-forces_05.png
tanzania-army-land-forces_06.png

Sajenti Mtumishi Maafisa Wateule 2 Maafisa Wateule 1
Staff Sergeant Warrant officer class 2 Warrant officer class 1
tanzania-army-land-forces_07.png
tanzania-army-land-forces_08.png
tanzania-army-land-forces_09.png

Luteni wa Pili Luteni wa Kwanza Kapteni
Second Lieutenant First Lieutenant Captain
tanzania-army-land-forces_10.png
tanzania-army-land-forces_11.png
tanzania-army-land-forces_12.png
tanzania-army-land-forces_13.png

Meja Luteni Kanali Kanali Brigedia Jenerali
major lieutenant colonel colonel brigadier general
tanzania-army-land-forces_14.png
tanzania-army-land-forces_15.png
tanzania-army-land-forces_16.png

Meja Jenerali Luteni Jenerali Jenerali
major general lieutenant general general

Happy New Year
Pasco
Kwahyo kuanza jeshi tu una V tatu.. Duh
 
Ah ! naskia hivyo vyeo ni mshughuliko mkubwa sana kuvipata sio lele mama aisee.Inahitajika uwe mzalendo Wa ddhati Wa taifa lako.Hivi Monduli na 92 kj (kwa makomando) wapi pachungu zaidi ? Maana naona komando akimpigia saluti afisa Wa jeshi mwenye nyota yani sielewi naomba msaada wa ufafanuzi Kwa wenye kufahamu.

Komando sio cheo komando ni kama majukumu au sijui tuite fani. Kama alivyo mtaalamu wa kuendesha kifaru na komando ndio hivo. Kwahio unaweza kuwa komando ila cheo chako ni koplo mpaka jenerali
 
Ah ! naskia hivyo vyeo ni mshughuliko mkubwa sana kuvipata sio lele mama aisee.Inahitajika uwe mzalendo Wa ddhati Wa taifa lako.Hivi Monduli na 92 kj (kwa makomando) wapi pachungu
zaidi ? Maana naona komando
akimpigia saluti afisa Wa jeshi mwenye nyota moja yani sielewi naomba msaada wa ufafanuzi Kwa wenye kufahamu.

TMA sio mchezo, kuhusu komando kumpigia saluti luteni usu ni kwamba kwanza komando sio cheo ni mafunzo ya kozi maalumu ndani ya jeshi komando anaweza kuwa private, Sajent, sajent taji, Luteni usu, luteni, kapteni, Major nk hivyo inawezekana huyo komando alikua na cheo cha chini kuliko huyo afisa aliekutana nae na akimuona alimzidi cheo lazima msalimie kwa saluti ya heshima
 
Ahhahahaha kazi ipo hapa umepewa maelezo mazuri sana!! Kama hujaelewa sema upewe notes kabisa!! Commando sio cheo ni mafunzo!!
TMA sio mchezo, kuhusu komando kumpigia saluti luteni usu ni kwamba kwanza komando sio cheo ni mafunzo ya kozi maalumu ndani ya jeshi komando anaweza kuwa private, Sajent, sajent taji, Luteni usu, luteni, kapteni, Major nk hivyo inawezekana huyo komando alikua na cheo cha chini kuliko huyo afisa aliekutana nae na akimuona alimzidi cheo lazima msalimie kwa saluti ya heshima
 
Ukiondoa cheo cha Private, na vyeo maalum, vyeo vingine vyote vya jeshi la polisi, magereza, uhamiaji, zimamoto na JWTZ, vimegawanyika mafungu matatu matatu ambao vinapisha kwa alama moja moja!.
Kwa JWZ,


Jeshi la Wananchi la Tanzania - JWTZ
tanzania-army-land-forces_03.png

Koplo mdogo Koplo Sajenti
lance corporal corporal sergeant
tanzania-army-land-forces_04.png
tanzania-army-land-forces_05.png
tanzania-army-land-forces_06.png

Sajenti Mtumishi Maafisa Wateule 2 Maafisa Wateule 1
Staff Sergeant Warrant officer class 2 Warrant officer class 1
tanzania-army-land-forces_07.png
tanzania-army-land-forces_08.png
tanzania-army-land-forces_09.png

Luteni wa Pili Luteni wa Kwanza Kapteni
Second Lieutenant First Lieutenant Captain
tanzania-army-land-forces_10.png
tanzania-army-land-forces_11.png
tanzania-army-land-forces_12.png
tanzania-army-land-forces_13.png

Meja Luteni Kanali Kanali Brigedia Jenerali
major lieutenant colonel colonel brigadier general
tanzania-army-land-forces_14.png
tanzania-army-land-forces_15.png
tanzania-army-land-forces_16.png

Meja Jenerali Luteni Jenerali Jenerali
major general lieutenant general general

Happy New Year
Pasco
@Pasco, you are back!
 
Bashite Angekuwa Mwanajeshi, Hakiya Mama angeenda kuchora kwa Mark Pen mabegani ajiongezee Cheo, Maana siku zote hanapenda kuparamia Madaraka ya juu kulikk yeye!
 
Ivi mwanajeshi akigoma kwenda kupigana vita anapewa adhabu gani?

Sambamba na hilo mtu akijiita yeye ni mbabe wa kivita huku hajawahi pigana vita yeyote anapewa adhabu gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom