southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 826
- 1,017
hilo swali limeulizwa sababu ya (jamooon)
hilo swali limeulizwa sababu ya (jamooon)
Hahah apo nimeelewa huyo Moja kwa Moja ni msichanahilo swali limeulizwa sababu ya (jamooon)
Si ndo hapo hahahaaaa
Mwanangu wewe ni Coy kabisa sitasahau Ile Coy mwanangu huyo kwamba Saria na kubweje walichokuwa wanatufanya Mungu anajua aisehe..Ila Saria dah mwamba alijua kutukera yule Eagle Coy dah sitamsahau "Nyankundo " yule 😂
Kwan wamechukua watuHabari za mda huu! Jaman course itaanza lini kwa mwenye ronja plz
Ndio hivyo kaka..kuja kustuka watu wanaapa.Uzi unakatika huu wazee
Oya, mbona kozi inakaribia kuisha wazee…
hiyo ni kozi ya Rts Boss BOG la OLJ bdo sanaaaOya, mbona kozi inakaribia kuisha wazee…
Hilo ni bogi la mei mosi..Oya, mbona kozi inakaribia kuisha wazee…
HII IMEENDA... na utasemaa.. Tukutane mwakani
Acha upotoshaji.Watu wameshaanza course mwezi wa pili huu
Afu Kweli hajui humu ndo source of all information.. aache kutupotosha..Acha upotoshaji.
Watu wengine wanatumia hii forum Kama 'source' ya habari.
Sent using Jamii Forums mobile app