Padone EPM
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 309
- 473
Wapo tayari kwa lolote et eeeh ngoja tutaonaNa inawezekana pia ndo wakavumilia kwa kuwa wapo tayari kwa lolote...
Mtaa umewachosha
Wapo tayari kwa lolote et eeeh ngoja tutaonaNa inawezekana pia ndo wakavumilia kwa kuwa wapo tayari kwa lolote...
Mtaa umewachosha
Alooooh Kwa afande maroda 😂😂experience pekee niliyoipata ni depo ya jkt, ya jua kali (Kanembwa JKT) na upepo wa kuleta usingizi japo hakuna muda huo...
Ila ile ya mvua wazee, siijui ladha yake ila nimeshuhudia kuruti walivyokuwa wanateseka pale Msata
HawatoiJamaa wa "ikuru" atakuwa na majibu. tumsubiri aje
Kwa Saria Mwita Magori, Amos Emmanuel Ng’ombe, Kibutu Wambura, Hamis Kamwenje, mteule daraja la kwanza mzee Mabenga 😂Alooooh Kwa afande maroda 😂😂
mzee mabenga nilimuacha ni Mr RSM MMJKT akahamishiwa Airforce hqKwa Saria Mwita Magori, Amos Emmanuel Ng’ombe, Kibutu Wambura, Hamis Kamwenje, mteule daraja la kwanza mzee Mabenga
Ila Saria dah mwamba alijua kutukera yule Eagle Coy dah sitamsahau "Nyankundo " yule 😂Kwa Saria Mwita Magori, Amos Emmanuel Ng’ombe, Kibutu Wambura, Hamis Kamwenje, mteule daraja la kwanza mzee Mabenga 😂
Babaaaa, watu wanahenya wiki pili na nusu hii, Maamae 😅Jamooon kwanza nauliza ivi jwtz ndo kimya au walishaitaga watu maana sijaona pdf la kuita watu
N kwl au kamba tu?? Km.hujui c ukae kmyaBabaaaa, watu wanahenya wiki pili na nusu hii, Maamae 😅
anasema kwel,but ni mabog tofautiN kwl au kamba tu?? Km.hujui c ukae kmya
Mkuu southernboy hawa jamaa wanaita watu lini huko oljoro?anasema kwel,but ni mabog tofauti
hata sijui ase, ila tuu wataitaMkuu southernboy hawa jamaa wanaita watu lini huko oljoro?
Wataita kutoka mashuleni kivipihata sijui ase, ila tuu wataita
nilimaanisha wataita watu kwenda shuleni (rts) yaan shule ya kijeshi
Daaaah nimeskia piah hiyo inshu daaah Nataman sana Mdogo Wang Asikose hiinilimaanisha wataita watu kwenda shuleni (rts) yaan shule ya kijeshi
Anha!! Sawa mzee..hata sijui ase, ila tuu wataita
Jinsia gani wewe mkuu?Jamooon kwanza nauliza ivi jwtz ndo kimya au walishaitaga watu maana sijaona pdf la kuita watu
Hahaha duuuh sa jinsia inahusika nnJinsia gani wewe mkuu?