DissDotCom
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 395
- 268
Jamani swali langu hivi ni lazima kutuma pesa ukweni?
Hivi unapokua umeoa na tayari umeshalipa mahali umekabidhiwa mke na mmeanzisha maisha yako kuna umuhimu wowote wa kuwatumia pesa wazazi wa mwanamke kila mwisho wa mwezi?
Japo ulazima upo kwenye zawadi pale ambapo unaenda kuwatembelea.
Hivi unapokua umeoa na tayari umeshalipa mahali umekabidhiwa mke na mmeanzisha maisha yako kuna umuhimu wowote wa kuwatumia pesa wazazi wa mwanamke kila mwisho wa mwezi?
Japo ulazima upo kwenye zawadi pale ambapo unaenda kuwatembelea.