Ni lazima kutuma pesa ukweni?

Hapa suala si ukweni, bali kusaidia wazazi. Hao wakwe kwa mkeo ni wazazi na kwa ndoa yenu ni wazazi wako pia hivyo unawajibika kuwasaidia.

Ndoa ni taasisi pana sana na mambo madogo ndo mambo makubwa katika ndoa. Furaha ya mkeo inategemea pia wazazi wake. Hivyo ili kuepusha misuguano ni vema mkakakaa na kukubaliana namna ya kuwasaidia wazazi au ndugu kwa kuzingatia kipato chenu.

Epuka dhana kwamba we ndo unawasaidia eti kwa sababu mkeo hana 'kazi' 'mama wa nyumbani'. Mkeo angekuwa mwenyewe bado angepambana ili kusaidia wazazi wake.
True
 
Hapa suala si ukweni, bali kusaidia wazazi. Hao wakwe kwa mkeo ni wazazi na kwa ndoa yenu ni wazazi wako pia hivyo unawajibika kuwasaidia.

Ndoa ni taasisi pana sana na mambo madogo ndo mambo makubwa katika ndoa. Furaha ya mkeo inategemea pia wazazi wake. Hivyo ili kuepusha misuguano ni vema mkakakaa na kukubaliana namna ya kuwasaidia wazazi au ndugu kwa kuzingatia kipato chenu.

Epuka dhana kwamba we ndo unawasaidia eti kwa sababu mkeo hana 'kazi' 'mama wa nyumbani'. Mkeo angekuwa mwenyewe bado angepambana ili kusaidia wazazi wake.
Hapa mkuu umeongea busara sana
 
Nimeoa tabata tu hapo, ila tangu nimeonekana siku y kutoa mahali (sijui ni mahari au nn) nimekuja kutia maguu ukweni after 5 years, wakwe tunaonana juu kwa juu tu like kwenye misiba n.k.

Nakumbuka after hiyo 5 years nilikwenda kawaida kabisaaaa na nauli yangu ya kurudia 400 mfukoni.

NB: Nawajibika pale inapolazimu tu. Ni vile maisha yetu tulivyoamua kuyaweka.#NoOffense#NoHardFeelings.
wewe ni mjanja,una staili kama zangu mkuu.
 
Si lazima lakini utu na ubinaadamu uchukue nafasi. Wale pia ni wazazi wako. Kama unampenda mkeo utapenda pia kuona furaha yake. Sidhani mke kama atafurahia kula kuku ili hali wazazi wake wanateseka na cabbage kila siku.
kwani kabla hajaolewa wazazi wake walikuwa wanakula nini?
 
Nina muda mrefu toka nimewapa wakwe pesa ,siku hizi naona wife kila aki ongea na mama yake anaombwa hela tuu na mimi na kula ganzi Kama siwa skii vile!!

Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
mkuu na mimi yalinikuta kama hayo huwa nikisafiri kwenda kwenye kazi halafu nikirudi nawasikia wanaongea kwenye simu nina shida ya hela mimi nakausha kama sijasikia.
kumbe kuna watu tunafanana sana akili humu
 
Acha nidandie treni kwa mbele.

Ukishaoa unaishi maisha yako kwa namna utayokubaliana na mwenzako huku mkochukua tahadhari ya jamii inayowazunguka namna wanavyoishi mnaweza jikuta nanyi mnaishi kama wao japo si sheria.

Kama baba yako yupo, muulize yeye alikuwa anapeleka pesa ukweni?
Kama una kaka wakubwa wailize pia. Kama una dada zako wameolewa muulize mama au baba, shemeji yako anawapa mshiko kila mwezi?

Kuna wanaopeleka matumizi (pesa na vitu) ukweni kila mwezi kwa ridhaa yao kama shukrani kwa kile mkewe anachomfanyia (Mahaba, utamu, mapishi, kujua kulea watoto na ndugu wa mume, anajua bajeti yaani sio mbahili sio mfujaji wa hela, sio mchoyo, hana gubu n.k.)

Hainaga fomula ukikuta unakerwaaa hata ukipigiwa simu na mkwe unajiskia kutukana

Nimeteremka kwenye treni nililodandia.

Alamsiki.
 
Nimeoa tabata tu hapo, ila tangu nimeonekana siku y kutoa mahali (sijui ni mahari au nn) nimekuja kutia maguu ukweni after 5 years, wakwe tunaonana juu kwa juu tu like kwenye misiba n.k.

Nakumbuka after hiyo 5 years nilikwenda kawaida kabisaaaa na nauli yangu ya kurudia 400 mfukoni.

NB: Nawajibika pale inapolazimu tu. Ni vile maisha yetu tulivyoamua kuyaweka.#NoOffense#NoHardFeelings.
Ila Kuna wanaume wanajua kusononesha roho za wake zao jamani wewe ukiwa kinara!
Unapata shida gan kwenda walau wknd moja na mkeo na wanao mkasalimia..?
Unajua hao nao ni wazazi wako?..khaa🙌!
Ila tuseme za ukweli...hata km wakwe ni matajiri jiashueni Basi ht na vivocha vya 20000/- monthly jamani!
Mpe mkeo atume walau 40/-...na ww kwenu mkeo atume chochote...inapendeza ujue!yaan inatia kidg moyo kuwa mwanetu kapata mume..Mimi wanangu wakijaoa na Kama nitawakubalia aisee nitawapa SoMo hili....wakumbuke ukweni...tuma bas hata kahela kamafuta even70/-...Kuna mianaume mikauzu kufa Haifi na tunaishi nayo tu😣!
Hata kumuunga mkweo bima unaona kazi😔
 
Kama hawana shida sio lazima,lakini kama wanahitaji msaada wenu ni vizuri kuwasaidia haijalishi ni kwenu au kwao,sisi tumeletwa duniani kusaidiana yani hatukuja hapa bila makusudi.
Ukute wazazi au watu wengine wanaomba kwa Mungu awasaidie kutimiza mahitaji yao hivyo anatumia watu mbali mbali ikiwemo watoto na watu wengine.Kwenye maisha lazima tusaidiane.
 
Ila Kuna wanaume wanajua kusononesha roho za wake zao jamani wewe ukiwa kinara!
Unapata shida gan kwenda walau wknd moja na mkeo na wanao mkasalimia..?
Unajua hao nao ni wazazi wako?..khaa🙌!
Ila tuseme za ukweli...hata km wakwe ni matajiri jiashueni Basi ht na vivocha vya 20000/- monthly jamani!
Mpe mkeo atume walau 40/-...na ww kwenu mkeo atume chochote...inapendeza ujue!yaan inatia kidg moyo kuwa mwanetu kapata mume..Mimi wanangu wakijaoa na Kama nitawakubalia aisee nitawapa SoMo hili....wakumbuke ukweni...tuma bas hata kahela kamafuta even70/-...Kuna mianaume mikauzu kufa Haifi na tunaishi nayo tu😣!
Hata kumuunga mkweo bima unaona kazi😔
Ahahahah.
Mkuu unatakiwa kuondokana na hiz fikra chakavu za kizaman sanaa.
Let me tell u this;

Kwa sisi akina baba, hakuna kitu kinachompa afuheni kubwa mzazi kama anapojua watoto wake wana uwezo KWANZA wa ku handle MAISHA yao bila msaada wa wazaz.
Huu ndio msaada mkubwa wa kwanza kama kijana unaopaswa kuwapa wazaz wako.Hayo mengine ni secondary thing..

NB.
Maisha ni vile ww unaamua kuyawekà.
 
Ahahahah.
Mkuu unatakiwa kuondokana na hiz fikra chakavu za kizaman sanaa.
Let me tell u this;

Kwa sisi akina baba, hakuna kitu kinachompa afuheni kubwa mzazi kama anapojua watoto wake wana uwezo KWANZA wa ku handle MAISHA yao bila msaada wa wazaz.
Huu ndio msaada mkubwa wa kwanza kama kijana unaopaswa kuwapa wazaz wako.Hayo mengine ni secondary thing..

NB.
Maisha ni vile ww unaamua kuyawekà.

🙌🙌🙌
 
Ila Kuna wanaume wanajua kusononesha roho za wake zao jamani wewe ukiwa kinara!
Unapata shida gan kwenda walau wknd moja na mkeo na wanao mkasalimia..?
Unajua hao nao ni wazazi wako?..khaa!
Ila tuseme za ukweli...hata km wakwe ni matajiri jiashueni Basi ht na vivocha vya 20000/- monthly jamani!
Mpe mkeo atume walau 40/-...na ww kwenu mkeo atume chochote...inapendeza ujue!yaan inatia kidg moyo kuwa mwanetu kapata mume..Mimi wanangu wakijaoa na Kama nitawakubalia aisee nitawapa SoMo hili....wakumbuke ukweni...tuma bas hata kahela kamafuta even70/-...Kuna mianaume mikauzu kufa Haifi na tunaishi nayo tu!
Hata kumuunga mkweo bima unaona kazi
Mi Kama Mzazi nataka watoto zangu wakibanwa na Maisha wawe wanakuja kuwomba msaada kwangu siyo Mimi kuanza kuwasumbuwa wao wakati ndiyo wanaanza na wao kujenga familia zao alafu tena ni wabebeshe zigo langu!!
 
Mi Kama Mzazi nataka watoto zangu wakibanwa na Maisha wawe wanakuja kuwomba msaada kwangu siyo Mimi kuanza kuwasumbuwa wao wakati ndiyo wanaanza na wao kujenga familia zao alafu tena ni wabebeshe zigo langu!!

Kumtumia vocha mzazi ni kumbebesha mzigo?
 
Umeongea kila kitu no more no less
Hapa suala si ukweni, bali kusaidia wazazi. Hao wakwe kwa mkeo ni wazazi na kwa ndoa yenu ni wazazi wako pia hivyo unawajibika kuwasaidia.

Ndoa ni taasisi pana sana na mambo madogo ndo mambo makubwa katika ndoa. Furaha ya mkeo inategemea pia wazazi wake. Hivyo ili kuepusha misuguano ni vema mkakakaa na kukubaliana namna ya kuwasaidia wazazi au ndugu kwa kuzingatia kipato chenu.

Epuka dhana kwamba we ndo unawasaidia eti kwa sababu mkeo hana 'kazi' 'mama wa nyumbani'. Mkeo angekuwa mwenyewe bado angepambana ili kusaidia wazazi wake.
 
Ukioa familia maskini na wavivu jiandae kutegemewa kwa kila kitu. Tena wapo ladhi kutumia hata madawa ili wakupumbaze.

Wape mtaji wa laki moja waanzishe mradi wa kuku wa kienyeji ili wasikusumbue tena.

Wakila mtaji wataona aibu kukutafuta tena. Tumia hii ni mbinu ya kibaharia.
Unakuta washua ni wazee halafu binti kwao wote ni wa kike wa kiume bado anasoma na ni m'moja tu......hapo mzee baba inabidi ukubali tu kuwa msukule kwa wakwe.
 
Kimsingi ndio maana tunashauriwa kupambana kutafuta maisha ili tuwape watoto msaada sio watoto waje tusaidia sisi kama vile ni bima ya maisha.

Unaambiwa tumia ujana wako kujiimarisha kwajiri ya maisha ya uzeeni ili usije wasumbua watoto. Ukipewa uwezo wa kuhudumia watoto wako hata wanapokuwa wameanza jitegemea still unatakiwa kuwa msaada kwao. Sio mbaya mara moja moja baba mkwe unapiga simu kwa wanao unawauliza wanaendeleaje unawapelekea chakula.
 
Kimsingi ndio maana tunashauriwa kupambana kutafuta maisha ili tuwape watoto msaada sio watoto waje tusaidia sisi kama vile ni bima ya maisha.

Unaambiwa tumia ujana wako kujiimarisha kwajiri ya maisha ya uzeeni ili usije wasumbua watoto. Ukipewa uwezo wa kuhudumia watoto wako hata wanapokuwa wameanza jitegemea still unatakiwa kuwa msaada kwao. Sio mbaya mara moja moja baba mkwe unapiga simu kwa wanao unawauliza wanaendeleaje unawapelekea chakula.
Umemaliza Mkuu!!
 
Back
Top Bottom