Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,408
- 6,233
tuma tu na wewe utalipiza wakioa mwanao
πππππππππππππππ
daaaaaah sijui ww unawaza nini
tuma tu na wewe utalipiza wakioa mwanao
Naomba kukuuliza ,Jamani swali langu hivi ni lazima kutuma pesa ukweni?
Hivi unapokua umeoa na tayari umeshalipa mahali umekabidhiwa mke na mmeanzisha Maisha yako kuna umuhimu wowote wa kuwatumia pesa wazazi wa mwanamke kila mwisho wa mwezi?
Japo ulazima upo kwenye zawadi pale ambapo unaenda kuwatembelea.
Umeongea vyemaSi lazima lakini utu na ubinaadamu uchukue nafasi. Wale pia ni wazazi wako. Kama unampenda mkeo utapenda pia kuona furaha yake. Sidhani mke kama atafurahia kula kuku ili hali wazazi wake wanateseka na cabbage kila siku.
Jamani swali langu hivi ni lazima kutuma pesa ukweni?
Hivi unapokua umeoa na tayari umeshalipa mahali umekabidhiwa mke na mmeanzisha Maisha yako kuna umuhimu wowote wa kuwatumia pesa wazazi wa mwanamke kila mwisho wa mwezi?
Japo ulazima upo kwenye zawadi pale ambapo unaenda kuwatembelea.
Hapana nilikuwa nimebanana kidogo na mambo ya kifamilia pa1 na ubize wa kazi, si unajua jinsi life huwa linabana sana wakati mwinine Mama?Sijakuona siku nyingi, tangu kampeni zianze au ulikua unaugulia maumivu ya wajumbe?![]()
Naelewa kabisa, pole sana na karibu tenaHapana nilikuwa nimebanana kidogo na mambo ya kifamilia pa1 na ubize wa kazi, si unajua jinsi life huwa linabana sana wakati mwinine Mama?
Hili wazo mimi pia naliangaliaga sana...unakuta wewe mwenyewe una fight life likae mahala tena unapoa uanze kuhudumia ukweniKupanga ni kuchagua ktk vigezo ambavyo ilikuwa razima awe navyo mwanamke kabla ya kuoa ni uwezo wa familia yake sikutaka kabsa kuoa familia tegemez na ninashukuru mnoo tangu nimeoa sjawh ombwa hata mia zaid huwa natuma vizwad tu.
Aahahahahahaahahaaa looh! sio kwa utambulisho huo, karibu kesho saa nne hadi tano asubuhi, nikuandalie nini mgeni??!
Wakubwa wanafaidiNina muda mrefu toka nimewapa wakwe pesa ,siku hizi naona wife kila aki ongea na mama yake anaombwa hela tuu na mimi na kula ganzi Kama siwa skii vile!!
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app






Mwanamke wa Tanga huyoJamani swali langu hivi ni lazima kutuma pesa ukweni?
Hivi unapokua umeoa na tayari umeshalipa mahali umekabidhiwa mke na mmeanzisha maisha yako kuna umuhimu wowote wa kuwatumia pesa wazazi wa mwanamke kila mwisho wa mwezi?
Japo ulazima upo kwenye zawadi pale ambapo unaenda kuwatembelea.
I love you Kasie matataπ₯°πΉβ€Acha nidandie treni kwa mbele.
Ukishaoa unaishi maisha yako kwa namna utayokubaliana na mwenzako huku mkochukua tahadhari ya jamii inayowazunguka namna wanavyoishi mnaweza jikuta nanyi mnaishi kama wao japo si sheria.
Kama baba yako yupo, muulize yeye alikuwa anapeleka pesa ukweni?
Kama una kaka wakubwa wailize pia. Kama una dada zako wameolewa muulize mama au baba, shemeji yako anawapa mshiko kila mwezi?
Kuna wanaopeleka matumizi (pesa na vitu) ukweni kila mwezi kwa ridhaa yao kama shukrani kwa kile mkewe anachomfanyia (Mahaba, utamu, mapishi, kujua kulea watoto na ndugu wa mume, anajua bajeti yaani sio mbahili sio mfujaji wa hela, sio mchoyo, hana gubu n.k.)
Hainaga fomula ukikuta unakerwaaa hata ukipigiwa simu na mkwe unajiskia kutukana ππ
Nimeteremka kwenye treni nililodandia.
Alamsiki.