Kutoa ni moyo na si lazima..
Kama kusaidia to kwa moyo was kupenda pasi kulazimishwa na mtuna so lazima kutoa Kila mwezi..
Ni mipangilio yenu kutoa kwa wakati gani.nakatika kutoa inapendeza mkitoa kwa pande zote 2 ili kuleta upendo zaidi.lakini pia itadipend uwezo au kipato chenu.,kutoa kulingana na kipato chenu.na katika kutoa haijalishi wazazi wana uwezo gani hata wangekuwa matajiri bado nyie mna nafasi yenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.