Mukama akiwa Katibu Mkuu wa ccm wapinzani wameliwa. Jamaa ni very professional kwenye masuala ya siasa. Ni kada mzima sana katika siasa za nchi hii tangu enzi za akina Nyerere na Kawawa. Inasemekana ni miongoni mwa wajumbe muhimu wa kamati iliyopiga kambi zanzibara kuandaa ilani ya uchaguzi ya ccm ya 2010.
JF tujikumbushe CHADEMA VS CCM kwa kuangalia uwezo na mvuto toka hizi clips: Clip ya kwanza Naibu Katibu Mkuu John Mnyika(MB) na clip ya pili ya video ya Kada wa CCM Wilson Mukama ambaye 'tetesi' zinasema ndiyo lulu ya CCM a.k.a katibu mkuu mtarajiwa wa CCM
John Myika:
Wilson Mkama:
Last edited by a moderator: