Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Source of this information please?????????????WanaJF,
Kuna tetesi zimezagaa mitaani kwamba Bw. Wilson Mukama ndiye anayeandaliwa kumpokea mpayukaji Makamba katika nafasi ya katibu mkuu wa ccm. Tangu wakati wa kampeni mwaka jana hadi sasa Bw. Mukama ambaye ni kada wa muda mrefu wa ccm amekuwa akijitokeza kwenye mijadala kwa njia ya luninga inayohusu mwenendo wa siasa hapa nchini. Ijumaa iliyopita Bw. Mukama alikuwa miongoni mwa wageni waalikwa kwenye kipindi cha TBC cha This Week in Perspective. Mjadala ulihusu miaka 34 ya ccm. Tafadhali wenye habari zaidi kuhusu tetesi hizi watujuze zaidi. Kama ni kweli je, huyu jamaa ana ubavu wa kushikilia kiti hicho au nae ni mpayukaji tu?
Mkuu Wilson Mkama ni nani ?,anafanya nini, unweza kutuwekea CV yake kwa faida ya wasiomjua kama mimi.
Sina uhakika lakini mabadiliko yoyote ya kumtoa makamba yatakuwa mazuri tu!!
Mkuu Wilson Mkama ni nani ?,anafanya nini, unweza kutuwekea CV yake kwa faida ya wasiomjua kama mimi.
Source of this information please?????????????
Mbnsura kama ya mropokaji Kibonde au macho yangu?
Lakini anaweza kuletewa mizengwe na wasiotaka mabadiliko ndani ya chama!Mukama akiwa Katibu Mkuu wa ccm wapinzani wameliwa. Jamaa ni very professional kwenye masuala ya siasa. Ni kada mzima sana katika siasa za nchi hii tangu enzi za akina Nyerere na Kawawa. Inasemekana ni miongoni mwa wajumbe muhimu wa kamati iliyopiga kambi zanzibara kuandaa ilani ya uchaguzi ya ccm ya 2010.
EL is back, mtake msitake.
Mukama pia alikuwa kwenye kamati ya jaji Kisanga, Nkapa alipowablast kwa kufanya kazi ambayo hawakutumwa, Mukama akawasaliti wenzake kwa kukana kuhusika na ripoti hiyo.