Ni kweli waliouawa Mwanza walitoka Kibiti?

Ni kweli waliouawa Mwanza walitoka Kibiti?

Hivi ile intelligencia ya yule binti Wa marekani haina uwezo Wa kunusa kibiti eeeh, au ile intelligencia gwaji Mzee Wa mabaka mbona hawataji jamaa Wa KIBITI. Tuone atakavyojifufua, usicheze na sniper kibisa. Dah
 
unaonekana una mashaka na taarifa zao, hebu nawewe tuthibitishie kwanza kuhusu kuuawa kwa wageni maeneo fulanifulani kama ulivyosema!
 
MUNGU NIPE HEKIMA NIONGEE KIDOGO KUHUSU WAUWAJI WA KIBITI.

Zipo taarifa kwamba kwamba wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza baada ya majibizano ya risasi na askari wetu.

Pia ziko taarifa kwamba akipatikana mtu mgeni kwenye eneo fulani kwa maana ya kwamba serikali ya eneo Hilo kutokumtambua basi atauwawa.

Kama taarifa hizi ndivyo zilivyo basi tunazo sababu za kujiuliza maswali mengi.

Kwamba, kama wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza kwenye majibizano ya risasi na askari, ni nani alitoa taarifa za uwepo wa watu hao Mwanza wakitokea KIBITI?

Je, aliyetoa taarifa ya watu hao kuwa wametoka KIBITI alizithibitihaje taarifa hizo na yuko wapi mpaka sasa?

Jeshi la Polisi linasema nini juu ya mtoa taarifa huyo ambaye kimsingi atalisaidia sana Jeshi letu la Polisi kufanya upelelezi?

Je, ni sahihi kwamba mtu yeyote mgeni kwenye eneo fulani anatakiwa kuuwawa? Na kama ndivyo mbona serikali yetu imekuwa na uoga wa kiwango hiki kwa wahalifu?

Je, hakuna namna nyingine ya kushughulika na wanaodaiwa kuwa ni wageni kwenye maeneo fulani zaidi ya kuwauwa?

Hii ni Tanzania ile ile tunayoisifia kwamba inaongozwa kwa misingi ya sheria?

KIBITI KIBITI KIBITI
MCHEZO WA SINEMA USIOTABIRIKA.
Haya ni mawazo tu lakini ya mjinga mmoja.
Kweli haya ni mawazo ya wewe mjinga mmoja na chanzo chake ni wewe mjinga mmoja.
 
Hii sinema haieleweki, mwisho wake aibu itawakuta

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hii indiscriminate killings inahitaji international attention! Upinzani achana na kusemea ndani, paza sauti UN, AU, EU etc, vinginevyo tunakwisha.
Nadhani wapinzani wamesema vya kutosha. Viongozi wa dini walijaribu kuingilia kati wakatulizwa. Rejea kipindi kile cha UKUTA, viongozi wa dini walijaribu kuingilia kati lakini mpaka leo kawaulize wamefikia wapi. Nadhani ni wakati mwafaka Mungu aliadhibu taifa hili, na hicho ndicho kinachofanyika-tunaadhibiwa!
 
MUNGU NIPE HEKIMA NIONGEE KIDOGO KUHUSU WAUWAJI WA KIBITI.

Zipo taarifa kwamba kwamba wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza baada ya majibizano ya risasi na askari wetu.

Pia ziko taarifa kwamba akipatikana mtu mgeni kwenye eneo fulani kwa maana ya kwamba serikali ya eneo Hilo kutokumtambua basi atauwawa.

Kama taarifa hizi ndivyo zilivyo basi tunazo sababu za kujiuliza maswali mengi.

Kwamba, kama wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza kwenye majibizano ya risasi na askari, ni nani alitoa taarifa za uwepo wa watu hao Mwanza wakitokea KIBITI?

Je, aliyetoa taarifa ya watu hao kuwa wametoka KIBITI alizithibitihaje taarifa hizo na yuko wapi mpaka sasa?

Jeshi la Polisi linasema nini juu ya mtoa taarifa huyo ambaye kimsingi atalisaidia sana Jeshi letu la Polisi kufanya upelelezi?

Je, ni sahihi kwamba mtu yeyote mgeni kwenye eneo fulani anatakiwa kuuwawa? Na kama ndivyo mbona serikali yetu imekuwa na uoga wa kiwango hiki kwa wahalifu?

Je, hakuna namna nyingine ya kushughulika na wanaodaiwa kuwa ni wageni kwenye maeneo fulani zaidi ya kuwauwa?

Hii ni Tanzania ile ile tunayoisifia kwamba inaongozwa kwa misingi ya sheria?

KIBITI KIBITI KIBITI
MCHEZO WA SINEMA USIOTABIRIKA.
Haya ni mawazo tu lakini ya mjinga mmoja.
Huyu dada Rose Mayemba Ana laana si bure
 
Mkuu
Usipanic
Twende taratibu...
Hakuna anayetamani haya yanayotokea yaendee...
Yanatuumiza sisi sote,lakini hii miereka ya Serikali yako hii inaturudisha nyuma sana kifikra.
Kama mlihamishia Jeshi la Polisi huko na bado watu wakaendelea kuuwawa iweje uone tuko salama.
Sina hakika sana kama ni Kweli SERIKALI imeshindwa kudhibiti mauaji hayo la sivyo basi iko siri kubwa sana serikali inaijua kuhusu mauaji haya
Hii comment yako inanipa masha kidogo naanza kuhisi kama kitu unateta.

Hivi serikali ni yetu sote au ni ya wao? basi kama umemwambia huyo kiongozi kwamba serikali yake' na wewe uko Tz nina mashaka uraia wako.
 
kama majambazi waliouawa ni ndugu zako unakaribishwa katika postmortem halafu ukawazike kwa heshima.

Polisi ikishatangaza vita maana yake hakuna majadiliano ni action tu.

Hapa mtaani kwangu kuna wageni kibao sijaona wakiuawa na Polisi.

Wanaouawa ni Majambazi...na waendelee kuawa tu.
Nakubaliana na wewe kua ni majambazi kama majambazi wengine,Lakini usiseme kua ni wale wanaoua watu kibiti,wauaji wa kibiti mbona hata jana walifumua kichwa kingine kule kibiti?

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi nilivyomsikiliza na kumuelewa kamanda ni kuwa walipata taarifa na kumkamata mmoja wao, wakafanya nae mahojiano kwa muda wa siku sita,na katika uchunguzi wakagundua kuwa walikuwa wanajipanga kuanza kupiga matukio mkoani Mwanza kama wale wengine wanavyofanya kibiti. Bahati mbaya taarifa imeandikwa tofauti eti waliouwawa wanatoka kibiti
Mkuu asante nami nilimsikiliza kwa makini kamanda ila kama unavyojua watz kila mtu anajua kuchambua taarifa akiwa na Tecno/nyuma ya keyboard!
 
MUNGU NIPE HEKIMA NIONGEE KIDOGO KUHUSU WAUWAJI WA KIBITI.

Zipo taarifa kwamba kwamba wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza baada ya majibizano ya risasi na askari wetu.

Pia ziko taarifa kwamba akipatikana mtu mgeni kwenye eneo fulani kwa maana ya kwamba serikali ya eneo Hilo kutokumtambua basi atauwawa.

Kama taarifa hizi ndivyo zilivyo basi tunazo sababu za kujiuliza maswali mengi.

Kwamba, kama wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza kwenye majibizano ya risasi na askari, ni nani alitoa taarifa za uwepo wa watu hao Mwanza wakitokea KIBITI?

Je, aliyetoa taarifa ya watu hao kuwa wametoka KIBITI alizithibitihaje taarifa hizo na yuko wapi mpaka sasa?

Jeshi la Polisi linasema nini juu ya mtoa taarifa huyo ambaye kimsingi atalisaidia sana Jeshi letu la Polisi kufanya upelelezi?

Je, ni sahihi kwamba mtu yeyote mgeni kwenye eneo fulani anatakiwa kuuwawa? Na kama ndivyo mbona serikali yetu imekuwa na uoga wa kiwango hiki kwa wahalifu?

Je, hakuna namna nyingine ya kushughulika na wanaodaiwa kuwa ni wageni kwenye maeneo fulani zaidi ya kuwauwa?

Hii ni Tanzania ile ile tunayoisifia kwamba inaongozwa kwa misingi ya sheria?

KIBITI KIBITI KIBITI
MCHEZO WA SINEMA USIOTABIRIKA.
Haya ni mawazo tu lakini ya mjinga mmoja.
Kama kumbukumbuku zako ziko vizuri,hivi wale walimuua RPC wa mwanza unakumbuka walikamatiwa wapi?,kua muuaji kibiti hakumzuii kusafiri kwenda mwanza,na kuuwawa kunakuja baada ya kukaidi amri halali ya polisi,mfano unapewa amri lala chini na unasilaha,ukikaidi wanakuchapa risasi within a second,maana hao mapolisi wasipowahi kukulaza wewe watalazwa wao
Jaribu kufikiria nje ya box
 
Rose Mayemba wewe binti una matatizo, peleka mgeni nyumbani kwako basi uone kama atapigwa risasi ?
Mmeishiwa hoja hadi mpo radhi kutetea wauaji, hivi kuna raia mwema yoyote anayeweza kurushia polisi risasi kama si jambazi ?

Majambazi wakiua watu Kibiti mnafurahia na kuanzisha nyuzi za kejeli, polisi wakiua majambazi mnaleta nyuzi za maswali ya kijinga kijinga, nyie ni binadamu wa aina gani mnaofurahia mauaji ?
Ni kweli siasa imewatoa hata utu tu wa kuheshimu uhai wa wengine ? Inaonekana amekosekana mtu wa kuwapa muongozo huko ndio maana mnaropoka ovyo ovyo.
Unamshambulia bila sababu yoyote ya maana Rose Mayemba. Kuna mambo mawili; ama una hasira za kimfumo zisizotaka kusikia au kusoma maoni tofauti na yaliyomo kichwani mwako, au umeathiriwa na mfumo ambao sasa unawajenga watu kuwa na hasira tu dhidi ya wengine!

Andishi la Rose Mayemba linahoji, wala halihitimishi! Sasa bastola ya nini kwa Mayemba, mtu ambaye yeye mwenyewe anatatizwa na taarifa hizo kiasi cha kusema "kama taarifa hizo ziko hivyo"! Kuna matukio ambapo polisi walirusha risasi kwa raia wema. Sio jambo la kushangaza hili. Nape mwenyewe, hapakuwa na rekodi kuwa ni mhalifu, lakini alionyeshwa bastola!

Katika mazingira tuliyonayo sasa, huna sababu ya kumkasirikia Mayemba kwa maswali anayohoji. Na wala na wewe huna sababu ya kuanza kumwona kama mtu anayefurahia matukio ya watu kuuawa, kwani anachokihoji ni hofu yake ya watu kuuawa. Sasa ni mwongozo gani unaotaka wapewe akina Mayemba? Waache kuhofia watu wanapouawa?
 
Walichofanya polisi ni namna ni namna ya kushughulika na wahalifu hatari. Ni suala la timing tu, wange delay ingekula kwao.
Mwisho bunduki na vifaa walivyokutwa navyo ni Sawa Kwa wao kumiliki?, au utasema walibambikwa?

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Hii indiscriminate killings inahitaji international attention! Upinzani achana na kusemea ndani, paza sauti UN, AU, EU etc, vinginevyo tunakwisha.
Mtetea jambani naye ni jambani anasitahiri adhabu kama jambazi. Hivyo wewe naomba serikali ikutafute ikupatie unachositahiri sisi ndugu zetu wameuwawa na majambazi wewe unawatetea!!??
 
kama majambazi waliouawa ni ndugu zako unakaribishwa katika postmortem halafu ukawazike kwa heshima.

Polisi ikishatangaza vita maana yake hakuna majadiliano ni action tu.

Hapa mtaani kwangu kuna wageni kibao sijaona wakiuawa na Polisi.

Wanaouawa ni Majambazi...na waendelee kuawa tu.
Acha ujinga wako, wanaouawa ni watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi!
 
Mjumbe Rose ni wazi kuwa hujui usemalo. Mwulize mtu yeyote hata mtoto atakwambia kuwa mambo kama hayo hayaulizwi wala kujibiwa hazarani labda kama unanusanusa upate fununu uwasaidie wahusika. Endelea kuamini unachoamini, kuwaliwaza magaidi na maadui wa Taifa hili. Uyakapojazinduka utakuta meli ilishaondoka zamani.
Waliouawa Mwanza ni wale wauaji wa kibiti ? Hili ndilo swali , hizo ngonjera zako hakuna anayezitaka .
 
MUNGU NIPE HEKIMA NIONGEE KIDOGO KUHUSU WAUWAJI WA KIBITI.

Zipo taarifa kwamba kwamba wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza baada ya majibizano ya risasi na askari wetu.

Pia ziko taarifa kwamba akipatikana mtu mgeni kwenye eneo fulani kwa maana ya kwamba serikali ya eneo Hilo kutokumtambua basi atauwawa.

Kama taarifa hizi ndivyo zilivyo basi tunazo sababu za kujiuliza maswali mengi.

Kwamba, kama wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza kwenye majibizano ya risasi na askari, ni nani alitoa taarifa za uwepo wa watu hao Mwanza wakitokea KIBITI?

Je, aliyetoa taarifa ya watu hao kuwa wametoka KIBITI alizithibitihaje taarifa hizo na yuko wapi mpaka sasa?

Jeshi la Polisi linasema nini juu ya mtoa taarifa huyo ambaye kimsingi atalisaidia sana Jeshi letu la Polisi kufanya upelelezi?

Je, ni sahihi kwamba mtu yeyote mgeni kwenye eneo fulani anatakiwa kuuwawa? Na kama ndivyo mbona serikali yetu imekuwa na uoga wa kiwango hiki kwa wahalifu?

Je, hakuna namna nyingine ya kushughulika na wanaodaiwa kuwa ni wageni kwenye maeneo fulani zaidi ya kuwauwa?

Hii ni Tanzania ile ile tunayoisifia kwamba inaongozwa kwa misingi ya sheria?

KIBITI KIBITI KIBITI
MCHEZO WA SINEMA USIOTABIRIKA.
Haya ni mawazo tu lakini ya mjinga mmoja.
Wewe dada ni hopeless kabisa natamani majambazi wakutembelee nyumbani kwako au sehemu yoyote ili wakusurubu kisawa sawa then urudi hapa JF uendelee kuwa tetea!! Hao majambazi wameshaua watu wangapi wasio na hatia mpaka sasa?? Halafu unaleta ujinga wako hapa!
 
Rose, usalama wa RAIA hauko hivo unavosema. Ww ulishawahi kuwa mbunge tungetegemea uwe na uelewa mpana wa mambo lakin sio hivo.

Ukiangalia hali ilivokuwa kipindi cha kikwete utagundua kuwa waovu wengi walijijenga kipindi hicho. Na hapo namaanisha waovu wa kila aina. Wezi, mafisad wajambazi magaid nakadhalika nakadhalika.

Vita ya kupambana nao sio lelemama kama akili yako inavokutuma. Kule kibiti ni kama kulikuwa na kikosi kabisa cha majambazi au magaid. Ukikisambaratisha kile nacho kinasambaa kila kona ya nchi. Na ndo maana wengine wamekamatwa kule songea, wengine nachingwea, wengine mwanza, of course wengine watakuwa apo apo kibiti na hata dar na mikoa mingine.

Ni suala la kutumia tu akili ili uelewe kuwa hawa magaid sio wajinga kama nyie wapinzan mnavotaka ieleweke. Sasa kwa taarifa yenu hawa wote watakamatwa na kupotezwa wote. Jeshi letu sio la mzaha mzaha.
Ayaa!! kumbe huyu aliwahi kuwa mbunge mkuu!!! Hahahaaa!! nicheke tu, sasa mbunge ndo ana hoja mfu kiasi hiki au niseme anadandia gari kwa mbele na yeye aonekane ni mchambuzi wa maswala ya kiusalam!!!
 
Waliouawa Mwanza ni wale wauaji wa kibiti ? Hili ndilo swali , hizo ngonjera zako hakuna anayezitaka .
Kwa hiyo kama sio wa kibiti basi wasiuwawe hata kama wanahatarisha maisha ya wengine?? Wakati mwingine uwe unatumia akili basi mkuu!! Natamani siku moja ukutane na hao majambazi halafu urudi hapa na uvuvuzela wako...!! Mfyuuu!!
 
MUNGU NIPE HEKIMA NIONGEE KIDOGO KUHUSU WAUWAJI WA KIBITI.

Zipo taarifa kwamba kwamba wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza baada ya majibizano ya risasi na askari wetu.

Pia ziko taarifa kwamba akipatikana mtu mgeni kwenye eneo fulani kwa maana ya kwamba serikali ya eneo Hilo kutokumtambua basi atauwawa.

Kama taarifa hizi ndivyo zilivyo basi tunazo sababu za kujiuliza maswali mengi.

Kwamba, kama wauwaji wa KIBITI wameuwawa Mwanza kwenye majibizano ya risasi na askari, ni nani alitoa taarifa za uwepo wa watu hao Mwanza wakitokea KIBITI?

Je, aliyetoa taarifa ya watu hao kuwa wametoka KIBITI alizithibitihaje taarifa hizo na yuko wapi mpaka sasa?

Jeshi la Polisi linasema nini juu ya mtoa taarifa huyo ambaye kimsingi atalisaidia sana Jeshi letu la Polisi kufanya upelelezi?

Je, ni sahihi kwamba mtu yeyote mgeni kwenye eneo fulani anatakiwa kuuwawa? Na kama ndivyo mbona serikali yetu imekuwa na uoga wa kiwango hiki kwa wahalifu?

Je, hakuna namna nyingine ya kushughulika na wanaodaiwa kuwa ni wageni kwenye maeneo fulani zaidi ya kuwauwa?

Hii ni Tanzania ile ile tunayoisifia kwamba inaongozwa kwa misingi ya sheria?

KIBITI KIBITI KIBITI
MCHEZO WA SINEMA USIOTABIRIKA.
Haya ni mawazo tu lakini ya mjinga mmoja.
Tabia ya kutoamini ni ugonjwa wetu watanzania. Soma hii uamini kuwa walikuwa ma.... Vifo vya watu sita vyazua taharuki Mwanza, wananchi wajifungia
 
Back
Top Bottom