kwa hyo africa ndio raw materials ya dunia?
Yesu atosha Afrika. Jibu ni kumkumbatia Yesu tu tutatokaa.
Nahitaj kujibiwa
mleta mada pamoja na uafrika wako inaoneka hujijui wewe ni nani?nani kakuambia africa lazima ijifananishe nahao wazungu wako?africa is for africa you cant compare it with any race or any continent ,hao wote wanafanya brain washing tu africa haihitaji bara lolote au race yoyote ni wanijipendekeza tu.jiulize kama tungekuwa inferior mbona tupo mpaka leo since the beginning?ukichoka kuishi africa nenda huko huko
Katika jamii zote ni watu weusi tu ndio wanafananiswa na nyani.Nilichukia sana nikamwambia i need facts or prove about what u say nikajua ni u-racist
Hakuna asiye jua hilo kwamba Ulaya ilifanya hicho alicho kisema mwandishi but je is it only Africa ndio walifanya hayo!? Mataifa karibu yote ya Asia may be except Japan yalitawaliwa, yaani India, China, Korea zote 2, Indonesia, Malaysia, Australia nk, wote hao walitawaliwa but kwanini sisi bado ni masikini hivi!? Well, hebu ichukue nchi kama Haiti ambayo ina zaidi ya miaka 200 ikiwa huru na tena wala haiku Africa ila ni weusi wenzetu, wale ni masikini wa kutupwa I mean ni mafukara. So kusingizia ukoloni au kutawaliwa na umasikini wetu ni excuse iliopitwa na wakati sana, sisi hatupo sawa na wengine, periodendelea kujishusha mwenyewe kuwa unafanana na nyani lakini the real fact is without Africa and Africans no surviving in west,east,north,south and all over the world..mwafrika anategemewa sana na hao wanao tudharau kama nguzo zao katika ukuaji wa uchumi wa nchi zao..tatizo hampendi kuzama deep nakujua source ya haya yote hamtaki kusoma vitabu vilivyo andkwa na hao wanao tuita nyani,na wengine wazalendo wa kweli..
kwakifupi soma hiki kitabu "why Europe underdeveloped Africa" by Walter Rodney pia ukimakimaliza mtafute Abdurahiman Babu katika African socialism or Socialist Africa...Jitambueni kwanza kabla ya kujifananisha na manyani
FactHakuna asiye jua hilo kwamba Ulaya ilifanya hicho alicho kisema mwandishi but je is it only Africa ndio walifanya hayo!? Mataifa karibu yote ya Asia may be except Japan yalitawaliwa, yaani India, China, Korea zote 2, Indonesia, Malaysia, Australia nk, wote hao walitawaliwa but kwanini sisi bado ni masikini hivi!? Well, hebu ichukue nchi kama Haiti ambayo ina zaidi ya miaka 200 ikiwa huru na tena wala haiku Africa ila ni weusi wenzetu, wale ni masikini wa kutupwa I mean ni mafukara. So kusingizia ukoloni au kutawaliwa na umasikini wetu ni excuse iliopitwa na wakati sana, sisi hatupo sawa na wengine, period
Sema wewe haupo sawa na wengine usigeneralize. Kama unajiona inferior hilo ni tatizo lako binafsi sio la wote.Hakuna asiye jua hilo kwamba Ulaya ilifanya hicho alicho kisema mwandishi but je is it only Africa ndio walifanya hayo!? Mataifa karibu yote ya Asia may be except Japan yalitawaliwa, yaani India, China, Korea zote 2, Indonesia, Malaysia, Australia nk, wote hao walitawaliwa but kwanini sisi bado ni masikini hivi!? Well, hebu ichukue nchi kama Haiti ambayo ina zaidi ya miaka 200 ikiwa huru na tena wala haiku Africa ila ni weusi wenzetu, wale ni masikini wa kutupwa I mean ni mafukara. So kusingizia ukoloni au kutawaliwa na umasikini wetu ni excuse iliopitwa na wakati sana, sisi hatupo sawa na wengine, period
Simzungumzii mtu mmoja mmoja, soma maelezo nilio andika kabla ya ku comment mkuu; well, nitajie nchi yoyote inayo kaliwa na weusi duniani na imeendelea kuwazidi Wazungu au watu weupe. Na kwenye maelezo yangu hapo juu nimezungumzia excuses ya weusi wengi kwamba tupo masikini (kama nchi sio individuals) kwasababu ya ukoloni, nimetolea mifano ya nchi nyingi ambazo si za weusi Vs na za weusi kwamba nazo pia zilitawaliwa kama sisi, why wao wametoka na weusi bado hatujatoka!? Mbaya zaidi hizi nchi za weusi zina rasilimali nyingi zaidi kuliko hata huko kwa weupe but still we depend on everything from them, WHY, HOW!?Sema wewe haupo sawa na wengine usigeneralize. Kama unajiona inferior hilo ni tatizo lako binafsi sio la wote.