Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
3,165
5,825
Ni matumaini wote ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku. Kwanza kabisa sihitaji vitisho, maubiri wala blah blah zozote. Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Nahitaji kujua hili suala kutoka kwa mtu mwenye uzoefu kivitendo yaani ashawahi kufanya na akapata matokeo, sihitaji story za kusikia na kukalilishwa tu.

Kama jibu ni ndiyo basi nitahitaji muongozo na procedures zote ambazo nitatakiwa kufuata. Kama inashindikana hapa hata mhusika akija inbox ni sawa.
 
Ndio ukimtumikia shetan utajiri utapata, n km unavyotumikia kibarua Ili ulipwe mshahara.

Je una moyo ...???
 
Dah utajiri wa masharti mkuu ni noma,Kuna mmoja huku kwetu ana Hela chafu ila kunya lazima aende mkoa jirani,aliambiwa siku akinya mkoani hapa imekula,so Jamaa anakulaga mikate tu.Mungu anatoa utajiri kwann usimjaribu yeye?
Niunganishe na uyo jamaa anipe a,b,c. Mungu hajawahi kunisaidia kipindi chote cha kumtumainia nimeona nibadili upande
 
Dah utajiri wa masharti mkuu ni noma,Kuna mmoja huku kwetu ana Hela chafu ila kunya lazima aende mkoa jirani,aliambiwa siku akinya mkoani hapa imekula,so Jamaa anakulaga mikate tu.Mungu anatoa utajiri kwann usimjaribu yeye?
Duh hii hatari sana 🤣🤣
 

Similar Discussions

7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom