Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
14,235
Reaction score
40,247
Ni matumaini wote ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku. Kwanza kabisa sihitaji vitisho, maubiri wala blah blah zozote. Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Nahitaji kujua hili suala kutoka kwa mtu mwenye uzoefu kivitendo yaani ashawahi kufanya na akapata matokeo, sihitaji story za kusikia na kukalilishwa tu.

Kama jibu ni ndiyo basi nitahitaji muongozo na procedures zote ambazo nitatakiwa kufuata. Kama inashindikana hapa hata mhusika akija inbox ni sawa.
 
Dah utajiri wa masharti mkuu ni noma,Kuna mmoja huku kwetu ana Hela chafu ila kunya lazima aende mkoa jirani,aliambiwa siku akinya mkoani hapa imekula,so Jamaa anakulaga mikate tu.Mungu anatoa utajiri kwann usimjaribu yeye?
 
Ndio ukimtumikia shetan utajiri utapata, n km unavyotumikia kibarua Ili ulipwe mshahara.

Je una moyo ...???
 
Dah utajiri wa masharti mkuu ni noma,Kuna mmoja huku kwetu ana Hela chafu ila kunya lazima aende mkoa jirani,aliambiwa siku akinya mkoani hapa imekula,so Jamaa anakulaga mikate tu.Mungu anatoa utajiri kwann usimjaribu yeye?
Niunganishe na uyo jamaa anipe a,b,c. Mungu hajawahi kunisaidia kipindi chote cha kumtumainia nimeona nibadili upande
 
ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?
Ndio Ila

¶uwe tayari kumpa nafsi yako

¶uwe tayari kufuata masharti yake ambayo anajua kabisa mwisho lazima unase tu

¶uwe na uwezo wa kumpa kiasi chochote cha damu anachokitaka
 
Ndio Ila

¶uwe tayari kumpa nafsi yako

¶uwe tayari kufuata masharti yake ambayo anajua kabisa mwisho lazima unase tu

¶uwe na uwezo wa kumpa kiasi chochote cha damu anachokitaka
Nipo tayari kwa hayo yote. Naomba muongozo zaidi mkuu. Naanzia wapi?
 
Dah utajiri wa masharti mkuu ni noma,Kuna mmoja huku kwetu ana Hela chafu ila kunya lazima aende mkoa jirani,aliambiwa siku akinya mkoani hapa imekula,so Jamaa anakulaga mikate tu.Mungu anatoa utajiri kwann usimjaribu yeye?
Duh hii hatari sana 🤣🤣
 
Back
Top Bottom