Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Hapa duniani Kuna vitu viwili tu ukivitegemea ni lazima utoboe. Lazima vikupe mafanikio makubwa . Ni MUMGU na SHETANI tu. Sharti moja tu usichanganye. Chagua kimoja na ukitii kwa 100%.
 
Mali hazipatikani kwa njia ya maombi, hawa wafia dini wametupiga
Biblia inaonesha watu wengi waliofanikiwa kutatua shida zao baada ya kumuomba

nenda kasome kitabu cha 1 samuel 2
Kinamzunguzia mwanamke hana alikuwa anatatizo la kushindwa kushika mimba ila alipoomba alipata kushika mimba

Sala ya Hana
1 Halafu Hana aliomba na kusema:
“Namshangilia Mwenyezi-Mungu moyoni mwangu.
Namtukuza Mwenyezi-Mungu aliye nguvu yangu.
Nawacheka adui zangu;
maana naufurahia ushindi wangu.
2“Hakuna aliye mtakatifu kama Mwenyezi-Mungu;
hakuna yeyote aliye kama yeye;
hakuna aliye mwamba kama Mungu wetu

Kitabu cha mambo ya nyakati kinamzungumzia mfalme wa yuda mfalme yehoshefati alivyoweza kushinda vita dhidi ya adui yake aliyekuwa na jeshi kubwa kuliko yeye kupitia maombi mfalme yehoshefati aliposikia jeshi hilo linakuja kumpiga alikusanya watu wakafunga wakaingia kwenye maombi

2 MAMBO YA NYAKATI 20

Sala na ushindi wa Yehoshafati

5.Yehoshafati akasimama kati ya kusanyiko la Yuda na Yerusalemu, nyumbani mwa BWANA, mbele ya ua mpya; 6 akasema, Ee BWANA, Mungu wa baba zetu, si wewe uliye Mungu mbinguni? Tena si wewe utawalaye falme zote za mataifa? Na mkononi mwako mna uweza na nguvu, asiweze mtu yeyote kusimama kinyume

Nataka niseme kuwa siri kubwa ya mafanikio ipo kwenye maombi ukiangalia sala za hana na mfalme yehoshefati wote walipitia magumu lakini angalia maombi yao ni tofauti na wakristo wengi leo hii

Maombi yao yamebeba zaidi sifa ,nguvu na utukufu kwa Mungu na sio shida waliokuwa nazo kama ambavyo watu wengi leo hii wanaomba
 
Ni matumaini wote ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku. Kwanza kabisa sihitaji vitisho, maubiri wala blah blah zozote. Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Nahitaji kujua hili suala kutoka kwa mtu mwenye uzoefu kivitendo yaani ashawahi kufanya na akapata matokeo, sihitaji story za kusikia na kukalilishwa tu.

Kama jibu ni ndiyo basi nitahitaji muongozo na procedures zote ambazo nitatakiwa kufuata. Kama inashindikana hapa hata mhusika akija inbox ni sawa.
Umeacha kubeti?
 
Nenda huko tunguli gairo
Kuna washirikina wanatoa Mali kwa wewe mwenye tamaa kulala na mzazi wako wa kike
 
Hapa wengi watakuja na hadithi tu za kusadikika lakini hakuna ushahidi wowote kwamba ukimtumikia yeyote kati ya hao uliotaja utapata mali. Kuna watu wanamtumikia Mungu maisha yao yote na wanakufa mafukara wa kutupwa, na kuna watu hawamjui hata huyo Mungu ila ni mabilionea.

Siri ya mafanikio haipo kwenye kumtumikia huyu au yule, wewe tafuta chaneli za kupata pesa kwa njia yoyote unayoijua wewe, na ukiipata unakomaa nayo ikibidi kuiba, kukwepa kodi, kudhulumu we usijali mradi pesa inaingia!
 
Hapa wengi watakuja na hadithi tu za kusadikika lakini hakuna ushahidi wowote kwamba ukimtumikia yeyote kati ya hao uliotaja utapata mali. Kuna watu wanamtumikia Mungu maisha yao yote na wanakufa mafukara wa kutupwa, na kuna watu hawamjui hata huyo Mungu ila ni mabilionea.

Siri ya mafanikio haipo kwenye kumtumikia huyu au yule, wewe tafuta chaneli za kupata pesa kwa njia yoyote unayoijua wewe, na ukiipata unakomaa nayo ikibidi kuiba, kukwepa kodi, kudhulumu we usijali mradi pesa inaingia!
Asante sana mkuu
 
Unaweza kujitoa kafara tuipe Mali marehemu yako?
 
Hapa wengi watakuja na hadithi tu za kusadikika lakini hakuna ushahidi wowote kwamba ukimtumikia yeyote kati ya hao uliotaja utapata mali. Kuna watu wanamtumikia Mungu maisha yao yote na wanakufa mafukara wa kutupwa, na kuna watu hawamjui hata huyo Mungu ila ni mabilionea.

Siri ya mafanikio haipo kwenye kumtumikia huyu au yule, wewe tafuta chaneli za kupata pesa kwa njia yoyote unayoijua wewe, na ukiipata unakomaa nayo ikibidi kuiba, kukwepa kodi, kudhulumu we usijali mradi pesa inaingia!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huu ushauri NAONDOKA NAOOOOO [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ni matumaini wote ni wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku. Kwanza kabisa sihitaji vitisho, maubiri wala blah blah zozote. Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni kweli ukimtumikia shetani anakupa mali?

Nahitaji kujua hili suala kutoka kwa mtu mwenye uzoefu kivitendo yaani ashawahi kufanya na akapata matokeo, sihitaji story za kusikia na kukalilishwa tu.

Kama jibu ni ndiyo basi nitahitaji muongozo na procedures zote ambazo nitatakiwa kufuata. Kama inashindikana hapa hata mhusika akija inbox ni sawa.
You have got to sell your soul to the devil !
Au hujui hata wale waigizaji na producers WA Hollywood nao wameuza roho zao Kwa Lucifer ?
 
Back
Top Bottom