Nimekuwa na Tatizo la kuona kila niki weka tiles, zinapishana. Mara nyingi na nunuaga tiles za makampuni ya hapa nyumbani Tz, kwa sababu ya Urahisi, lakini pia kuinua viwanda vya ndani.
Ila mara zote naona mistari haija nyooka, mara zote nikiwauliza mafundi wananiambia tiles za kichina na za Tanzania zinapishana. Sasa najiuliza je hii ni kweli?
Na sababu inakuwa nini? Maana nilidhani tiles zinatengenezwa kwa frame maalumu ambayo ina vipimo sawa. Hebu watalaamu wetu mtusaidie ukweli wa hili.
Ila mara zote naona mistari haija nyooka, mara zote nikiwauliza mafundi wananiambia tiles za kichina na za Tanzania zinapishana. Sasa najiuliza je hii ni kweli?
Na sababu inakuwa nini? Maana nilidhani tiles zinatengenezwa kwa frame maalumu ambayo ina vipimo sawa. Hebu watalaamu wetu mtusaidie ukweli wa hili.