wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,048
- 2,442
Watanzania wenyewe wamepinda,sembuse tiles za mchina
Hata iwe na mraba tatizo lipo kuna tails za mchina 600 x600 ziko vizuri watu wanashanga ubora hafifu angalieni nagharamaFundi kakupindishia nyumba yako.
Nyumba yako, yaani kila chumba hakina mita za mraba kamili. Kuna error ya zaidi ya 1%.
Sio kweli mkuu tails za 400x400 ndozinatatizo ila 600x600 ziko vizuriUkiweka tiles nyumba nyingi ambazo zimejengwa enzi za mkoloni, kama tiles hizo siyo pieces kubwa, huwa zina fit na kama hazifit, huwezi kuona tile yoyote ambayo haipo straight. Na kama zipo zimekatwa basi zote pembezoni zitakuwa na shape ileile.
Neno linaloleta maana nzima ya mada ni "kupishana". Kwanini zipishane kama chumba kipo straight kila corner?
Mimi siyo mjenzi ila nimegundua hili nilipojengewa na fundi wa mtaani. Tiles ilibidi zichongwe na nilipouliza wataalam wa ujenzi, hilo ndio jibu nililopewa na kwangu lilileta maana.
Jaribu siku moja kuweka tiles nyumba za mkoloni, mfano zile za chang'ombe uhindini.
Tatizo gani?Sio kweli mkuu tails za 400x400 ndozinatatizo ila 600x600 ziko vizuri
KupishanaTatizo gani?