kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Habari wapendwa wana jukwaa napenda kuuliza jee ni kweli kuwa mpesa visa master card inaweza kufanya manunuzi mtandaoni km ebay,aliexpress,na amazon?
Jee vipi kuhusu makato na gharama za huduma?
Kipi bora kati ya kutumia mpesa master card kufanya manunuzi au kutumia visa master card ambazo nimezoea kutumia??
Kipi nafuu na kisichokua na makato mengi na makubwa?
Jee vipi kuhusu makato na gharama za huduma?
Kipi bora kati ya kutumia mpesa master card kufanya manunuzi au kutumia visa master card ambazo nimezoea kutumia??
Kipi nafuu na kisichokua na makato mengi na makubwa?