asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Mkwaju everyday!! Ile kitu si mchezo ohooooo!
Unapenda????
Mkwaju everyday!! Ile kitu si mchezo ohooooo!
Mim binafsi nafuata kuangalia tv hasa tamthilia, naangalia hadi saa 9usiku.
Mkwaju everyday!! Ile kitu si mchezo ohooooo!
kwa Wale WAUMINI... Mwanaume aliumbwa kutoka kwa udongo, Ila mwanamke aliumbwa kutoka kwa Ubavu wa Mwanaume... Kwa hio ni lazima arudi alikotoka kabla ya kuirudia ardhi. Jukumu la msingi laweza kuwa kuzaa, kuongezeka na kuijaza nchi. Si ndio
Unapenda????
unaonekana unaipenda
6 kwa 6 huu ndo ukweli
Mim binafsi nafuata kuangalia tv hasa tamthilia, naangalia hadi saa 9usiku.
mmmmmmmmmmh!!!!
Umenisema mimi 100%mhh, labda kwa zamani ila kwa sasa it goes beyond the need of the so called " LIBOLO" wengi siku hizi wanaolewa kwa sababu ya njaa zao na umri kusogea!!! suala la mabolo nadhan hata before kuolewa walikuwa wanabololewa tremendously!!!
Za siku wanajukwaa, poleni kwa majukumu.
Leo nakuja na hoja hii, kwa waliohudhuria semina za ndoa makanisani/msikitini na hata kwenye kitchen part na hata beg part, mtakuwa mmekutana na msisitizo huu, kuwa mwanamke anafuta mamboz yaani yale mambo yetu ya 6 kwa 6, lazima tuwashughurikie.
Maana kama ni chakula hata kwao alikuwa anakula, kama ni kitanda cha kulala hata kwao alikuwa nacho kizuri kuzidi hata hicho chako mume. Nimekuwa nikijiuliza ni kweli maana hata akiwa kwao mbona mamboz alikuwa pia anayapata japo ya kuiba wanawake fungukeni, mnafata nini kwa mume.