miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
Maneno yako matamuu miss chagga afu mazitoo 😉
uzuri yanabebeka
Maneno yako matamuu miss chagga afu mazitoo 😉
Mim binafsi nafuata kuangalia tv hasa tamthilia, naangalia hadi saa 9usiku.
Naona umeamua kuturusha roho tu , sisi viumbe dhaifu kwenu.
kwa Wale WAUMINI... Mwanaume aliumbwa kutoka kwa udongo, Ila mwanamke aliumbwa kutoka kwa Ubavu wa Mwanaume... Kwa hio ni lazima arudi alikotoka kabla ya kuirudia ardhi. Jukumu la msingi laweza kuwa kuzaa, kuongezeka na kuijaza nchi. Si ndio
Ndiyoooooo!!!! 6*6 ndiyo mpango mzimaaaa.
Unamaanisha wazazi wake walikua hawampigi.Ni kweli mke anafata hiki kwa mume?![]()