JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,967
Za siku wanajukwaa, poleni kwa majukumu.
Leo nakuja na hoja hii, kwa waliohudhuria semina za ndoa makanisani/msikitini na hata kwenye kitchen part na hata beg part, mtakuwa mmekutana na msisitizo huu, kuwa mwanamke anafuta mamboz yaani yale mambo yetu ya 6 kwa 6, lazima tuwashughurikie.
Maana kama ni chakula hata kwao alikuwa anakula, kama ni kitanda cha kulala hata kwao alikuwa nacho kizuri kuzidi hata hicho chako mume. Nimekuwa nikijiuliza ni kweli maana hata akiwa kwao mbona mamboz alikuwa pia anayapata japo ya kuiba wanawake fungukeni, mnafata nini kwa mume.
Leo nakuja na hoja hii, kwa waliohudhuria semina za ndoa makanisani/msikitini na hata kwenye kitchen part na hata beg part, mtakuwa mmekutana na msisitizo huu, kuwa mwanamke anafuta mamboz yaani yale mambo yetu ya 6 kwa 6, lazima tuwashughurikie.
Maana kama ni chakula hata kwao alikuwa anakula, kama ni kitanda cha kulala hata kwao alikuwa nacho kizuri kuzidi hata hicho chako mume. Nimekuwa nikijiuliza ni kweli maana hata akiwa kwao mbona mamboz alikuwa pia anayapata japo ya kuiba wanawake fungukeni, mnafata nini kwa mume.