luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,023
- 21,268
Wachaga wana majibu.kuna shoga yangu ni mkristo mzuri tu ila anasema kila mwaka lazima aende kwao kuchinja mbuzi.asipofanya hivyo mambo hayaendi.kazi haziendi, mikosi kibao.
Hata mwezi 12 alienda wakachinja mbuzi wakafanya mila na kuweka damu pale. Mbuzi wakamla wana ukoo.
Je kama mtu anachinja mbuzi si nakusafisha lazima?
Hata mwezi 12 alienda wakachinja mbuzi wakafanya mila na kuweka damu pale. Mbuzi wakamla wana ukoo.
Je kama mtu anachinja mbuzi si nakusafisha lazima?