Ni kweli kuwa Mbowe aliondoa ukomo wa uongozi kwenye katiba ya CHADEMA kwa hila?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Nov 22, 2022
1,689
3,264
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti. Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano. Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti. Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano. Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?
Ni vzr wahusika wakaleta kipengele cha hiyo katiba ili tuone!
 
"Mbowe akaondoa kikomo cha uongozi kinyemela"

Tuseme ni kweli Mbowe alikiondoa hicho kikomo cha uongozi kinyemela, kwanini wajumbe wa KK Chadema wakashindwa kuhoji juu ya hilo kwenye mikutano yao ya ndani?

Kwasababu inavyoonekana hapo, wanataka kumsukumia Mbowe jumba bovu kisa ndie mwenyekiti, lakini hata kama akiwa mwenyekiti, kwanini wajumbe wengine nao wakae kimya juu ya hilo?

Hiyo maana yake hilo jambo lilikubaliwa kwenye vikao halali vya chama chao, isipokuwa wachache walio nje ya hivyo vikao ndio wanajitokeza mbele mbele kuzungumzia jambo wasilolijua chanzo chake, ajabu badala wakaulize wahusika, bado wanapiga kelele zao ili kutimiza malengo yao.
 
Huu uzi hautapata wachangiaji wengi ,maana nyumbu wengi hawana vichwa vya kufikiria na ukitaka mgombane mseme vibaya Mwenyekiti Mbowe .
 
"Mbowe akaondoa kikomo cha uongozi kinyemela"

Tuseme ni kweli Mbowe alikiondoa hicho kikomo cha uongozi kinyemela, kwanini wajumbe wa KK Chadema wakashindwa kuhoji juu ya hilo kwenye mikutano yao ya ndani?

Kwasababu inavyoonekana hapo, wanataka kumsukumia Mbowe jumba bovu kisa ndie mwenyekiti, lakini hata kama akiwa mwenyekiti, kwanini wajumbe wengine nao wakae kimya juu ya hilo?

Hiyo maana yake hilo jambo lilikubaliwa kwenye vikao halali vya chama chao, isipokuwa wachache walio nje ya hivyo vikao ndio wanajitokeza mbele mbele kuzungumzia jambo wasilolijua chanzo chake, ajabu badala wakaulize wahusika, bado wanapiga kelele zao ili kutimiza malengo yao.
Ngoja tupate majibu ilikuwaje wajumbe wa KK hawakuhoji?
 
Huu uzi hautapata wachangiaji wengi ,maana nyumbu wengi hawana vichwa vya kufikiria na ukitaka mgombane mseme vibaya Mwenyekiti Mbowe .
Wewe umechangia kipi cha maana hapo? naona umetoka nje ya mada completely ukaenda kujiongelea pumba zako kivyako, nawe ni nyumbu au chura?!
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti. Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano. Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?
Kumbe hata ww hujui ?? Basi achana na mambo ya kijiweni mkuu... Baraza kuu la chadema ndo lilipitisha kuondolewa kwa hicho kifungu, na sababu za kuondolewa hicho kifungu ilikuwa ni kutokana na uhaba wa wanachama wanaoweza kuwa viongozi shupavu ...kumbuka sio kila mwanachama anaweza kuwa kiongozi, Bali kila raia anaweza kuwa mwanachama ... kwahiyo hao wanaosema hivyo kwanza sio wanachadema , wanachadema wanajua fika kwnn hicho kipengele kiliondolewa
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti. Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano. Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?

Hatuna MAJI wala UMEME hapa home Ukonga sababu Mbowe alibadili katiba na kuwa Mwenyekiti wa kudumu CDM?

CCM wakiona tunajadili mambo kama haya na kuacha kuwa hold accountable kwa huu uchumi mbovu,huwa wanatucheka sana
 
"Mbowe akaondoa kikomo cha uongozi kinyemela"

Tuseme ni kweli Mbowe alikiondoa hicho kikomo cha uongozi kinyemela, kwanini wajumbe wa KK Chadema wakashindwa kuhoji juu ya hilo kwenye mikutano yao ya ndani?

Kwasababu inavyoonekana hapo, wanataka kumsukumia Mbowe jumba bovu kisa ndie mwenyekiti, lakini hata kama akiwa mwenyekiti, kwanini wajumbe wengine nao wakae kimya juu ya hilo?

Hiyo maana yake hilo jambo lilikubaliwa kwenye vikao halali vya chama chao, isipokuwa wachache walio nje ya hivyo vikao ndio wanajitokeza mbele mbele kuzungumzia jambo wasilolijua chanzo chake, ajabu badala wakaulize wahusika, bado wanapiga kelele zao ili kutimiza malengo yao.
2004 CHADEMA si lolote,maana rais alikua mkapa mkiristo mwenzao, chadema kimekua something 2010-15,hapa angeondoa kinyemela wangehoji,lakini 2004 ilikua Kama nra na rungwe spunda..nani ahangaike kuhoji
 
Hatuna MAJI wala UMEME hapa home Ukonga sababu Mbowe alibadili katiba na kuwa Mwenyekiti wa kudumu CDM?

CCM wakiona tunajadili mambo kama haya na kuacha kuwa hold accountable kwa huu uchumi mbovu,huwa wanatucheka sana
Tuache kunywa bia kisa huko ukonga hamna maji na umeme?
 
"Mbowe akaondoa kikomo cha uongozi kinyemela"

Tuseme ni kweli Mbowe alikiondoa hicho kikomo cha uongozi kinyemela, kwanini wajumbe wa KK Chadema wakashindwa kuhoji juu ya hilo kwenye mikutano yao ya ndani?

Kwasababu inavyoonekana hapo, wanataka kumsukumia Mbowe jumba bovu kisa ndie mwenyekiti, lakini hata kama akiwa mwenyekiti, kwanini wajumbe wengine nao wakae kimya juu ya hilo?

Hiyo maana yake hilo jambo lilikubaliwa kwenye vikao halali vya chama chao, isipokuwa wachache walio nje ya hivyo vikao ndio wanajitokeza mbele mbele kuzungumzia jambo wasilolijua chanzo chake, ajabu badala wakaulize wahusika, bado wanapiga kelele zao ili kutimiza malengo yao.

😂😂 Nimecheka kwa nguvu vibaya mno.
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004. Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti. Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba. Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano. Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.

Madai haya yanaukweli wowote?
Hivi unafikiri Katiba ya Chama ni kama note book yako kuwa unaweza kufuta au kuongeza kitu chochote wakati wowote?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kwenye chama tu tena kisichokua na ofisi mtu anabadili katiba aendelee kuwa mwenyekiti, je tukiwapa na nchi hawa?, huyo rais si ndio atakua hana ukomo pia?.
Ni mawazo yangu tu baada ya kupigwa na Swaumu kali ya leo
 
Kumbe hata ww hujui ?? Basi achana na mambo ya kijiweni mkuu... Baraza kuu la chadema ndo lilipitisha kuondolewa kwa hicho kifungu, na sababu za kuondolewa hicho kifungu ilikuwa ni kutokana na uhaba wa wanachama wanaoweza kuwa viongozi shupavu ...kumbuka sio kila mwanachama anaweza kuwa kiongozi, Bali kila raia anaweza kuwa mwanachama ... kwahiyo hao wanaosema hivyo kwanza sio wanachadema , wanachadema wanajua fika kwnn hicho kipengele kiliondolewa
Mpaka sasa hakuna mwanachama wenye uwezo wa kuwa Mwenyekiti? Kama jibu ni kwambo kwa sasa wapo, basi Ukomo urejeshwe. Vinginevyo NYUMBU wanaendelea kuzaliana
 
Nimeona hii habari huko Twitter. Inasema kuwa Mbowe alikuwa mwenyekiti wa CDM mwaka 2004.
Sawa, na ni kweli kabisa..
Wakati huo katiba ya chama ilikuwa imezungumza kuwa kutakuwa na ukomo wa miaka kumi kwa mwenyekiti.
Sawa, na ni kweli kabisa...
Mwaka 2006 yalifanyika mabadiliko ya katiba.
Ni kweli mabadiliko hayo yalifanyika
Lakini suala la ukomo wa uongozi halikuzungumzwa kwenye mkutano.
Una uhakika?....... Wewe na wenzako thibitisheni hili...
Inasema kuwa katiba ilipoendwa kuchapwa, Mbowe akaondoa kipengele cha ukomo wa uongozi kinyemela. Hii ndiyo hadi leo mwaka wa 20 bado ni mwenyekiti.
Three facts za kukujulisha kuwa hizi ni propaganda za kijinga kutoka kwa wajinga:

1. Ina maana Freeman Mbowe alifanya kikao kingine na kuondoa kipengere hicho?

2. Au alikuwa anachapa (kuichapicha) yeye hiyo katiba na kisha Kwa makusudi akaacha kukichapa kipengere hicho?

3. Je, ina maana toka wakati huo (yaani mwaka 2006 yalipofanyika mabadiliko hayo) hakujawahi kufanyika kikao kama hicho chenye mamlaka ya kufanya mabadiliko ya katiba na ili nyie wajumbe muhoji hiki unacho kihoji wewe leo na wajinga wenzako?

4. Je, si kweli kuwa mambo hayo huhojiwa kwenye vikao rasmi? Kama ulihoji ulijibiwaje? Kwanini unaleta umbea hapa?
Madai haya yanaukweli wowote?
Baada ya maelezo hayo hapo juu, wewe unaonaje? Ni kweli au ni ujinga na upumbavu wa wachache tu?

Labda na wewe u miongoni mwao..!!
 
2004 CHADEMA si lolote,maana rais alikua mkapa mkiristo mwenzao, chadema kimekua something 2010-15,hapa angeondoa kinyemela wangehoji,lakini 2004 ilikua Kama nra na rungwe spunda..nani ahangaike kuhoji
Chadema sio lolote kwa maana ipi? hata kama haikuwa na umaarufu na ukubwa huu ilionao, bado ilikuwa na wajumbe wenye akili timamu za kuhoji kwenye vikao, kwanini wajumbe hao hawakuhoji hilo?

Sababu nyingine za ukristo ulizoandika hapo juu ni upuuzi mtupu, kama ingekuwa sababu ya kweli, basi hata JPM na ukatili wake Chadema wangemkalia kimya, namshangaa na huyo aliyekupa "like" kwa huo ujinga ulioandika.
 
Chadema sio lolote kwa maana ipi? hata kama haikuwa na umaarufu na ukubwa huu ilionao, bado ilikuwa na wajumbe wenye akili timamu za kuhoji kwenye vikao, kwanini wajumbe hao hawakuhoji hilo?

Sababu nyingine za ukristo ulizoandika hapo juu ni upuuzi mtupu, kama ingekuwa sababu ya kweli, basi hata JPM na ukatili wake Chadema wangemkalia kimya, namshangaa na huyo aliyekupa "like" kwa huo ujinga ulioandika.
Namaanisha haikua deal yaani Kama chauma,mwenye chauma akibadili Katiba nani atahamaki!?
 
Back
Top Bottom