Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Mara nyingi tunasikia kwamba fulani anatakiwa kupimwa ili kujua utimamu wa afya yake ya akili. Hili hutokea hata katika mahakama zetu ambapo zimeshawahi kutolewa amri mtuhumiwa akapimwe akili
Suala hili huibuliwa wakati mtu kafanya jambo ambalo katika jamii linaonekana sio la kawaida na likawa na madhara kwake yeye mwenyewe, kwa mtu au watu wengine au hata kwa jamii nzima kwa ujumla
Naomba kuwauliza wataalamu wa afya kwamba kipimo cha akili ni kipi na kinaitwaje? Je kuna kifaa au mashine maalumu kwa ajili ya kipimo hicho kama vile MRI, CT Scanner, Microscope etc?
Je kuna sample yoyote hua inahitajika kutoka kwa anayetakiwa kupimwa akili kama vile urine, stool, blood au hata bone marrow?
Je ni sahihi pia kipimo cha IQ ya mtu(kama kipo) kinaweza kupima utimamu wa afya ya akili kwa binadamu?
Suala hili huibuliwa wakati mtu kafanya jambo ambalo katika jamii linaonekana sio la kawaida na likawa na madhara kwake yeye mwenyewe, kwa mtu au watu wengine au hata kwa jamii nzima kwa ujumla
Naomba kuwauliza wataalamu wa afya kwamba kipimo cha akili ni kipi na kinaitwaje? Je kuna kifaa au mashine maalumu kwa ajili ya kipimo hicho kama vile MRI, CT Scanner, Microscope etc?
Je kuna sample yoyote hua inahitajika kutoka kwa anayetakiwa kupimwa akili kama vile urine, stool, blood au hata bone marrow?
Je ni sahihi pia kipimo cha IQ ya mtu(kama kipo) kinaweza kupima utimamu wa afya ya akili kwa binadamu?