Naomba kuuliza; Kipimo cha treni kwenda kasi ni kuchongoka kwa kichwa chake au mifumo ya ndani ya injini?
Nauliza hivyo kwa sababu nimeiona video siwezi kuidownload mkurugenzi wa TRC akisema kuwa tutaendelea kupokea vile vichwa vya mwendo kasi vya kuchongoka!
Kadogosa na yeye ameamua kwendana na wananchi kwa kusema "vichwa vya kuchongoka" kwa sababu huku mtaani tunaelezana kuwa ili treni iende kasi lazima kichwa chake kiwe kimechongoka!
Kwahiyoo, kwa mfano, TRC wakienda kiwandani wakafanya modifikesheni ya bodi la KICHWA BOX na kuweka bodi la KICHWA MCHONGOKO halafu injini ile ile, je spidi itaongezeka kwa sababu ya kuchongoka?
Nauliza hivyo kwa sababu nimeiona video siwezi kuidownload mkurugenzi wa TRC akisema kuwa tutaendelea kupokea vile vichwa vya mwendo kasi vya kuchongoka!
Kadogosa na yeye ameamua kwendana na wananchi kwa kusema "vichwa vya kuchongoka" kwa sababu huku mtaani tunaelezana kuwa ili treni iende kasi lazima kichwa chake kiwe kimechongoka!
Kwahiyoo, kwa mfano, TRC wakienda kiwandani wakafanya modifikesheni ya bodi la KICHWA BOX na kuweka bodi la KICHWA MCHONGOKO halafu injini ile ile, je spidi itaongezeka kwa sababu ya kuchongoka?