Jumanne ndio siku ambazo huwa nikpeleka mzigo sokoni napata hasara sana,mara ya mwisho nilipata hasara kubwa kwenye biashara yangu ambayo sitokuja isahau maishani mwangu...ilikua ni jumanne ya pasaka mwaka huu.
Siku zote ni nzuri. cha muhimu jikabidhi kwa Mwenyezi Mungu kabla ya mapambazuko ili kuweza kuitawala siku yako, hata kama shetani na makuhani wake wamekupangia mabaya yatashindikana. Usipofanya hivyo lazima utaoparate ndani ya ratiba ya shetani kwani wewe ukiwa umelala fofofo yeye anakupangia siku yako itakavyokuwa. So, kuwa na hulka ya kuiamuru siku yako na kukabidhi mipango yako kwa Mungu kabla ya mapambazuko, usiamke tu kama chizi.
Tena tunashauriwa tusifanye dili lolote siku ya Ijumaa na hasa muda wa yale makelele yao ya kuitana
Nuksi zipo IJUMAA. Ijumaa ni siku ya nuksi sana,
mkuu wewe ni designer wa hiyo makitu? if so ntaku'pm
Jumanne ndio siku ambazo huwa nikpeleka mzigo sokoni napata hasara sana,mara ya mwisho nilipata hasara kubwa kwenye biashara yangu ambayo sitokuja isahau maishani mwangu...ilikua ni jumanne ya pasaka mwaka huu.
tunazimaliza zote sasa, jumapili nwaumini walitwangana moravian
Amepata lazi.rekepisha kwanza sentensi yako hapo juu