Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

Ni kweli jamaa yupo huru uraiani!?

Kabisa Mkuu. Ephraim Chigumbi na Ndugu yake Sabinus Chigumbi, Mathias Lukombe na Dereva Taxi Juma Ndugu. Mwenyezi Awarehemu.
Hapo utakuwa unamzungumzia Abdallah Zombe? Kama ni yeye basi kilichomuokoa ni kukosekana kwa ushahidi wa kimazingira, siku ya tukio yeye hakuwepo kule msituni kwenye kutekeleza mauaji bali alikuwa akitoa order aliyehusika moja kwa moja ni ndugu Christopher Bageni
 
Hapo utakuwa unamzungumzia Abdallah Zombe? Kama ni yeye basi kilichomuokoa ni kukosekana kwa ushahidi wa kimazingira, siku ya tukio yeye hakuwepo kule msituni kwenye kutekeleza mauaji bali alikuwa akitoa order aliyehusika moja kwa moja ni ndugu Christopher Bageni
Unaniangusha Mkuu! Zombe hakuwahi kuhukumiwa kunyongwa mpaka Kufa.
 
Unaniangusha Mkuu! Zombe hakuwahi kuhukumiwa kunyongwa mpaka Kufa.
Ndio, aliyehukumiwa ni Bageni yeye alikaa gerezani miaka almost 3 na akaachiwa kutokana na kukosekana ushahidi wa kimazingira na pia kwasababu ya kifo cha ghafla cha shahidi mkuu Koplo Rashidi Lema
 
Ndio, aliyehukumiwa ni Bageni yeye alikaa gerezani miaka almost 3 na akaachiwa kutokana na kukosekana ushahidi wa kimazingira na pia kwasababu ya kifo cha ghafla cha shahidi mkuu Koplo Rashidi Lema
Baada ya kuachiwa washitakiwa wote kwa mara ya kwanza serikali ilikata rufaa na ndipo jamaa akakutwa na Hatia na hata alipokata rufaa bado mahakama ya rufaa ilishindilia hukumu ile ile ya kunyongwa mpaka kufa. Hiyo ya kifo cha koplo Lema mahakama iliona haina mashiko. Swali ni kuwa " je jamaa alikata rufaa tena mara ya pili akashinda!?
 
Baada ya kuachiwa washitakiwa wote kwa mara ya kwanza serikali ilikata rufaa na ndipo jamaa akakutwa na Hatia na hata alipokata rufaa bado mahakama ya rufaa ilishindilia hukumu ile ile ya kunyongwa mpaka kufa. Hiyo ya kifo cha koplo Lema mahakama iliona haina mashiko. Swali ni kuwa " je jamaa alikata rufaa tena mara ya pili akashinda!?
Yes kwa Abdallah Zombe ila Kwa Christopher Bageni rufaa ilitupiliwa mbali
 
Polisi wana historia mbaya sana kwenye hii nchi
 
Back
Top Bottom