Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,480
- 78,732
Kampuni ya Azam ilizindua soda aina ya Azam Cola..ambazo zilitokea kupendwa sana...ila sasa kuna STORY mitaa kuwa zimesimamishwa/kufungiwa..nimeuliza kisa sijapata..naona bora niulize huku Jamvini ...anayejua atuabarishe