<br />Hakijapigwa marufuku bwana kitaani kiposema labda kama kawaida sema haya mambo ya ushindani kwenye biashara kampuni zingine zimewekwa kapuni na kinywaji hiki halafu strategy waliyotumia Azama niliipenda sana yaani Ml 500 wanauza kwa Shs 500 wakati soda Ml 350 ni Shs 500 naona Coca Cola ndio walikuwa wa kwanza kulalamika FCC (Fair Competition Commission) pamoja na kuwa kinywaji hiki kimepandishwa bei na kuwa Shs 700 lakini bado watu wanaendelea kununua kama kawaida
Tumeagiza Azam Cola 100<br />
<br />
kwenye kikao kutakuwa na azam cola?
napita tu maana mimi ni bia tu. nikinywa soda silewi
Chunguza mdomo wako labda ndio una matatizozina harufu nikinywa kichefuchefu
<br />Tumeagiza Azam Cola 100
<br />
<br />
kwenye kikao kutakuwa na azam cola?
<br />Tumeagiza Azam Cola 100
<br />Husninyo kuna samaki na chipsi. Utakuja? Umekaa kimya nitakuchapa
<br />Husninyo kuna samaki na chipsi. Utakuja? Umekaa kimya nitakuchapa