mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,771
- 4,656
i knew it.................nothing knew she got
Fareed nakuhakikishia ukitaka spika afate hiyo miongozo ya kipuuzi kila uchao bunge halitafanya kazi yake.
Si kwa wabunge wa cdm wala ccm wote wamekuwa na kukamiana kusiko na msingi, wabunge wamefikia hatua wanasikiliza wenzao sio kwa umuhimu wanaosema ila watateleza wapi ili waombe mwongozo. bunge haliwezi kuendeshwa kwa miongozo bana, spika anamamlaka ya kupima na akiona ni kupoteza muda anaipotezea
Fareed nakuhakikishia ukitaka spika afate hiyo miongozo ya kipuuzi kila uchao bunge halitafanya kazi yake.
Si kwa wabunge wa cdm wala ccm wote wamekuwa na kukamiana kusiko na msingi, wabunge wamefikia hatua wanasikiliza wenzao sio kwa umuhimu wanaosema ila watateleza wapi ili waombe mwongozo. bunge haliwezi kuendeshwa kwa miongozo bana, spika anamamlaka ya kupima na akiona ni kupoteza muda anaipotezea
Mbunge huyo wa CCM alisema Bungeni kuwa anashukuru "hakuchaguliwa kwa tiketi ya CHADEMA kwani ingekuwa kashfa kubwa."
Spika Anne Makinda kama kawaida yake kwa kutaka kutumia udikteta ili kuficha udhaifu wake wa uongozi akamtetea mbunge huyo wa CCM na kudai eti hakuitaja CHADEMA na kumwambia Mdee akae chini.