Left back-gunner
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 572
- 228
Ni Hikima ya Muumbaji kaka.... wewe umeona mnyama gani..Jike likamfukuza dume katika kufanya tendo la kuburudika....Tuanze na kuku,Bata.Ng'ombe..Mbwa,Paka na wengine wote...usilazimishe jambo ambalo Muumba ameshaweka utaratibu wake.........Jifunze kusoma alama za nyakati...ukimkuta mwenzako amefanya mabadiliko ya kuvaa..kusuka...kutia hinna ua kwa huku kwetu znz kufukiza udi io ndi massage tosha ya Jambo lenyewe...au ukiambiwa leo usichelewe kurudi......mwanamke anaweza kuweka maua ya asumini kitandani...tena apo uambiwe nini tena shekhee?