Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,376
mkuu, kama mamsapu haoneshi dalili za kunihitaji kwanini nisiende nje ambako nahitaji zaidi.
Very stupid!! Kwani kukuhitaji kwake ni lazima akuandikie barua ya maombi?? Ulioa kwa kuiga au ulioa kwa kuwa ulijua umeweza kuyamudu maisha ya ndoa??