James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,342
Hayana, maji meupe yapo fresh tu .... Mwasonga Dar es salaam zoo, maji uhai, uwanja wa Yanga mitaa ile unajichukulia kiwanja na kusubiri.
Huo ndiyo ujanja.
Buy land and wait .... Don't wait to buy land
Kutoka posta hadi hapo ni shi ngapi na na masaa mangapi?
Pia je vile vya kukatiana kwa ya chini kabisa vina range kwenye sh. ngapi