Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Kwema Wakuu!
Jadili Chozi la CDF Mstaafu Mabeyo litolee ufafanuzi kana kwamba unajua alichokuwa anafikiri. Fafanua na elezea tabasamu na kila cheki lake na maana iliyojificha. Kwa kina onyesha jinsi body language yake inavyokinzana na anachozungumzia, hakikisha unaeleza uongo mtamumtamu unaopatana na akili za Watanzania kuhusu habari zilizofichwa ambazo watanzania wengi hata kabla hawajaambiwa huwa na hizo habari akilini.
Watanzania wanapenda assumption, imagination, fiction stories, ndio maana ukiwa mbobevu kwenye hayo mambo kwa hapa Tanzania lazima utoboe. Wachungaji wa kileo wengi washasoma saikolojia ya Watanzania, wanasiasa, waganga, biashara ya michezo ya kubahatisha itazidi kustawi na kushamiri kutokana fikra za Watanzania.
Ukishakuwa Star Tanzania ni rahisi kuwaendesha Watanzania vile unavyotaka. Unaweza ukawapa cha kuzungumza wakakizungumza mwezi mzima.
Mange Kimambi, Kigogo kigogo, ni miongoni mwa Watu walioweza kutumia fikra za Watanzania.
Tanzania unaweza ukavaa tuu nguo yenye fuvu la kichwa au pete yenye fuvu la kichwa na ukishakuwa na pesa ya kubadilisha mboga utatungiwa stori za uzushi mara wewe Freemasonry mara sijui kitu gani. Watanzania hawapendi Ukweli. Na ukiwa umesimama mbele ya mtu unayemjua ni Mtanzania hata kama una ukweli wa jambo usimwambie kwa sababu hatakuamini. Mtanzania ni rahisi kuamini uzushi na udaku kuliko kuamini UKWELI.
Hata hivyo haishangazi kwa sababu ukweli mara nyingi(sio zote) Hauna Faida, na Pia ukweli kikawaida unakatili sana. Ukweli ni uhalisia. Na mwanadamu hasa Mtanzania hapendi Uhalisia (ukweli).
Mimi nimemaliza.
Jadili Chozi la CDF Mstaafu Mabeyo litolee ufafanuzi kana kwamba unajua alichokuwa anafikiri. Fafanua na elezea tabasamu na kila cheki lake na maana iliyojificha. Kwa kina onyesha jinsi body language yake inavyokinzana na anachozungumzia, hakikisha unaeleza uongo mtamumtamu unaopatana na akili za Watanzania kuhusu habari zilizofichwa ambazo watanzania wengi hata kabla hawajaambiwa huwa na hizo habari akilini.
Watanzania wanapenda assumption, imagination, fiction stories, ndio maana ukiwa mbobevu kwenye hayo mambo kwa hapa Tanzania lazima utoboe. Wachungaji wa kileo wengi washasoma saikolojia ya Watanzania, wanasiasa, waganga, biashara ya michezo ya kubahatisha itazidi kustawi na kushamiri kutokana fikra za Watanzania.
Ukishakuwa Star Tanzania ni rahisi kuwaendesha Watanzania vile unavyotaka. Unaweza ukawapa cha kuzungumza wakakizungumza mwezi mzima.
Mange Kimambi, Kigogo kigogo, ni miongoni mwa Watu walioweza kutumia fikra za Watanzania.
Tanzania unaweza ukavaa tuu nguo yenye fuvu la kichwa au pete yenye fuvu la kichwa na ukishakuwa na pesa ya kubadilisha mboga utatungiwa stori za uzushi mara wewe Freemasonry mara sijui kitu gani. Watanzania hawapendi Ukweli. Na ukiwa umesimama mbele ya mtu unayemjua ni Mtanzania hata kama una ukweli wa jambo usimwambie kwa sababu hatakuamini. Mtanzania ni rahisi kuamini uzushi na udaku kuliko kuamini UKWELI.
Hata hivyo haishangazi kwa sababu ukweli mara nyingi(sio zote) Hauna Faida, na Pia ukweli kikawaida unakatili sana. Ukweli ni uhalisia. Na mwanadamu hasa Mtanzania hapendi Uhalisia (ukweli).
Mimi nimemaliza.