Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

Ni kwanini ni vigumu kumngoja BWANA?

Hata musa alipochelewa/ kawia kule mlimani tuliendelea na haruni kidogo na sanamu, Na Mungu alielewa akatusamehe
Inasikitisha sana...... hilo jambo liliwaangamiza wengi sana.... tunamtumaini MUNGU kwa sababu atatue changamoto zote bila kujua kuna wakati MUNGU anaona sio wakati sahihi kupata jambo fulani...
 
Ok¡¡¡ uwepo wake uko kila mahali... na anataka kila mwanadamu amuamini kwa moyo wa kweli,,, so kama bado unataka kumuona atajifunua kwako kwa kadiri ya mapenzi yake na bado anakungoja mkuu¡¡¡
Thibitisha uwepo wa Mungu sitaki mahubiri
 
Thibitisha uwepo wa Mungu sitaki mahubiri
Ok¡¡¡ MUNGU amejaa huruma na neema haoni hasira upesi ni mwingi wa fadhili.
Psalm 103 :8.
Amekupa uhuru wa kuchagua its upon you kukubali au kukata uwepo wake¡¡¡
 
HOk¡¡¡ MUNGU amejaa na neema haoni hasira upesi ni mwingi wa fadhili.
Psalm 103 :8.
Amekupa uhuru wa kuchagua its upon you kukubali au kukata uwepo wake¡¡¡
Thibitisha uwepo wa Mungu hapa sio kanisani mahubiri yako peleka huko
 
Sahihi mkuu¡¡¡
  • Wanataka majibu ya haraka.
    Binadamu kwa asili hupenda kuona matokeo ya haraka. Kusubiri huwa kugumu, hasa wakati wa matatizo ya kifedha, magonjwa, changamoto za kifamilia au mahusiano. Mara nyingi watu huona ni afadhali kuchukua hatua mara moja kuliko kusubiri.
  • Hofu ya kupoteza fursa.
    Watu huogopa kwamba wasipochukua hatua sasa watapoteza kazi, biashara, ndoa au nafasi nyingine muhimu. Hofu hii huwafanya wategemee muda wao wenyewe badala ya muda wa Mungu.
  • Ni vigumu kumwamini Mungu bila kuona matokeo mara moja.
    Kumngoja Mungu kunahitaji imani. Kwa kuwa mipango ya Mungu haionekani mara moja, watu huanza kujiuliza:
    • Je, Mungu ananisikia?
    • Je, hali yangu itabadilika kweli?
    • Je, nasubiri bure?
  • Shinikizo la dunia ya leo.
    Dunia ya sasa inathamini mambo ya haraka:
    • Mawasiliano ya papo kwa papo.
    • Huduma za haraka.
    • Mafanikio ya haraka.
    • Kutimiza mahi
 
Meku hii vita ngumu.
Kuna mtu alishindwa kesi kwa kushindwa kuthibitisha kwamba yule mungu wa kenya sio mungu halisi.
Yeah mambo ya kiimani tu hayo, kuwa kwenye uhalisia haiwekani
 
Back
Top Bottom