Andromeda Galaxy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 8,914
- 14,764
Uko sahihi watu wengi hawawezi kutafsiri na kuelewa mantiki ya neno la kwenye biblia wao huishia kusoma kilichoandikwa na kuishia hapo bila kujua inahitajika kuchimba neno lile na kulielewa katika muktadha wa kiroho zaidi na si kimwiliMimi sio mtumishi na sitakuja kuwa. Am a business man. Ila najua kinachosumbua watu wengi ni kushindwa kutafsiri kile kitabu walicholetewa na wazungu, wakabiwa wakikifuata wataenda mbinguni😂 Bila kujua ile blue print ya kufanikiwa kwenye kila jambo ulitakalo chini ya jua, shida hawana uwezo wa kutafsiri kilicho andikwa. Sasa wanatafsiriwa na watu wanaotaka kuwaburuza