Thats crazy thing we do for love. I have big respect for that man eventhough simjui
Hata kitoto(mtoto) kilicho kule pembeni kina mshaangaa...MadameX, you mean alishindwa kumbeba nicely??..au wite ni wasanii tu daraja(mwanaume aliyelala katika picha) na mpitaji(mdada)?
mwanaume anapobembeleza, sio mchezo
We Ndibalema huko ndo kujali.yaani mi ningepata kidume cha namna hiyo!wallah sikiachii maana ningefaidi vingi.nakushauri na we umuige huyo kaka uone mamsapu wako atakavyokupenda.