Mwiyuzi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 846
- 432
Msamehe tu jamani..mbona wanawake wako wengi tu? Wazuri, waliosoma, wenye kipato...ni rahisi kumsahau huyo demukumsomesha demu wangu mpaka kamaliza matokeo yake ile kumaliza tu. naletewa kadi ya mwaliko wa harusi. sito msamehe hadi kufa.