Daydream
Member
- Oct 26, 2023
- 58
- 328
Mapenzi yanapoanza yanakua matamu kama asali ila mkishachokana yanakua machungu kama shubiri mwishowe mnaachana
Katika kuachana kuna sababu mbalimbali huwa zinatolewa na wapenzi wetu ambazo zinapelekea wao kutuacha
Mimi mpenzi wangu aliniambia "Daydream me naona tuachane" nikamuuliza kwanini unasema tuachane akanijibu "Kila nikilala kifuani kwako nasikia wanawake wanacheka"
Je wewe mdau wa JF MMU ulipewa sababu gani ya kuachwa na mpenzi wako ?
Katika kuachana kuna sababu mbalimbali huwa zinatolewa na wapenzi wetu ambazo zinapelekea wao kutuacha
Mimi mpenzi wangu aliniambia "Daydream me naona tuachane" nikamuuliza kwanini unasema tuachane akanijibu "Kila nikilala kifuani kwako nasikia wanawake wanacheka"
Je wewe mdau wa JF MMU ulipewa sababu gani ya kuachwa na mpenzi wako ?