Jeff the profucer
Member
- Feb 16, 2015
- 63
- 83
Dem
Huwa nakuadmire sanaAhsante mkuu ndiyo ukweli wenyewe
Ahsante sana mkuu👏Huwa nakuadmire sana
Kinatosha mkuu, ila mimi napenda niongezee kidogo ka masters na professional studies nyingine😀Hapo kwenye elimu zaidi ndyo sipo, hiki kidigirii niko nacho nimekisotea 4yrs kinanitosha.
Mku sijazungumzia uwezo.Uwezo unao sana ila huna na kinakusumbua.Unadhani sina uwezo wa kumiliki iPhone?
Sio kila mtu anapenda vitu vinavyotukuzwa na baadhi ya watu.
Sasa uwezo anao kama kinamsumbua si angenunua?Mku sijazungumzia uwezo.Uwezo unao sana ila huna na kinakusumbua.
Anachokiongea hata akieleweki.Sasa uwezo anao kama kinamsumbua si angenunua?
Mkuu,kitu kinaweza kukusumbua na uwezo ukawa nao ila kwa sababu ya Vipaumbele au ya kutokuelewa au kujipenda unabaki kunungunika na kuweka nyuzi JF na kujaribu Kujiamnisha kwamba Hakikusumbui.Ni tabia na uhalisia wa watu wengi.Roho inatamani ila mwili unasita au Mwili unatamani ila roho inasita.Iphone sio kitu cha kipekee sana cha kuwekea mjadala kama hakikusumbui.Kuna watu ambao wakienda dukani kunanua SIMU wanataka simu inayofanya kazi tu basi Hawajali cha Brand name wala BEI hawa ndio unaweza simu hawasumbiliwi kichwa.Na hata kwenye huu uzi utaona hawatacomment kabisa.Ila wengi tuliocomment to some extent tunasumbuliwa na hivyo tunavyosema havitusumbuiSasa uwezo anao kama kinamsumbua si angenunua?
Acha uongo babeSijawahi fika daslamu na wala siwazi na sitegemei
Ndivyo watumiaji wa I phone wanavyozinasibu utasema haweweki airtime...Mmh,
Kumbe iPhone ni issue sana kwa baadhi ya watu!
Ndio hivyo ila kina @lara1 wakiaandaa white party if am not mistaken nitakujaAcha uongo babe
Itakuwa sio Muha wewe!Sijawahi fika daslamu na wala siwazi na sitegemei