sisiem wote, na kuifuta kabisaHusika na kichwa cha habari hapo juu.
Mm ningekuwa kiongozi wa nchi ningewafukuza wala Rushwa, na mafisadi wote waende wanakokujua maana wanaharibu sana Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Vipi wewe ungewafukuza watu wa aina gani?
wabunge wanaokuja majimboni uchaguzi ukikaribiaWabunge wote.
Zingatia wabunge waliopo Sasa hivi, si maanishi bunge halina umuhimu ila Kwa hawa tulionao bora tubaki na watu walioajiriwa kama mawaziri, Makatibu wakuu n.k akizingua kibarua kinaota nyasi.