Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?

Nimekutana na hili swali sehemu "Ni kitu gani ambacho hauna lakini Watu wanadhani unacho?"

Mimi nimejibu "Watu wanajua nina hela kumbe kapuku tu ninayejua kujitunza na kuwa na muonekano wa kueleweka"

Wewe je?
Kitu ambacho hakipo lakini watu wanadhani kipo ni watu kudhani kuwa CCM inaleta maendeleo kumbe siyo
 
Back
Top Bottom