Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

Ni kipi unachomkumbukia ex wako?

Kukakilisha = kunimiliki = kuganda 😅😅😅

Me uandishi wangu mara nyingi.. lazima mtu kujua kwenda nje ya boksi fastaaaaaa kudaka.. Eeeeh
Nimekuelewa mkuu una uandishi unique sana mtu kujua lazima achome kuni hata moja kidogo then akizoom anaona hapa umeandiika unyama mwingi mkuu, kwa hio anakumiliki mpaka leo na anakufaidi mpaka leo huyo exb?
 
We were a very crazy couple fr, tulivibe hatari! Kumoke, clubbing, long drive with louder music, singing along like crazy 😝 we were the late night shenanigans☺️ marafiki zangu walinishangaa kuwa naye, marafiki zake walihisi karogwa! Nakumbuka aliniamini sana, mpaka mshahara wake mzima mzima anauleta kwangu! Basi tu maisha mengine lazima yaendelee!
Nilikuwa sipendi sex, lakini pale niliiomba🤸🏽‍♀️🌚
 
We were a very crazy couple fr, tulivibe hatari! Kumoke, clubbing, long drive with louder music, singing along like crazy 😝 we were the late night shenanigans☺️ marafiki zangu walinishangaa kuwa naye, marafiki zake walihisi karogwa! Nakumbuka aliniamini sana, mpaka mshahara wake mzima mzima anauleta kwangu! Basi tu maisha mengine lazima yaendelee!
Nilikuwa sipendi sex, lakini pale niliiomba🤸🏽‍♀️🌚
Apostooo kuna kitu kimetokea😎
 
Kumbe wakati mwingine haya mambo yanafanana,

Inafika hatua unaona kila mtu anamuhitaji mwenzake inatakiwa sparks kidogo tu penzi lirudi kuwa moto na hiyo spark ndiyo haitokei, unajaribu kuwa cool, labda muda utafanya maamuzi kumbe ndo mnapotezana mazimaa. Mambo yanakatika ju kwa juu na majuto debe.

💔🚮
Inafika hatua unaona kila mtu anamuhitaji mwenzake inatakiwa sparks kidogo tu penzi lirudi kuwa moto na hiyo spark ndiyo haitokei, unajaribu kuwa cool, labda muda utafanya maamuzi kumbe ndo mnapotezana mazimaa. Mambo yanakatika ju kwa juu na majuto debe.
a87e95e6-11b0-403c-ac61-c58c452846ce.jpeg
 
Ila sio ma x n watamu ndugu yangu. Mkiamua kukumbushiana nakwambia kila mtu hataki kushndwa mechi. Mimi wangu namkumbuka kwa kuvunja kitanda kila cku ya mechi hadi ilibidi ninunue matress nyingne hiyo ni special kwa mechi sio kwa mieleka ile pumbavu yule ila kiburi kama chote anaweza akaamua asipke cku hiyo kisa umechelewa kurudi home. Kuna cku nilifika getin mama mzaz akaniomb hela flani hapo. Nikaingia ndani nikachukua niende kumtumia mama hapo ni saa mbili, mtoto wa watu hajanifanya kimya kimya akidhani naenda misele yangu akashangaa naishia mpesa kutoka yeye hajaenda kuuliza wakala jina la niliyemtumia hela. Yaan yule mtu acha tu aitwe x
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom