Ni kipi kinawafanya developers wa nairaland kutokuibadilishia muonekano ?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Oct 22, 2015
8,024
16,490
Nimekuwa mtembeleaji wa hii forum kubwa kabisa nchini Nigeria kama sio Africa kwa miaka mingi sana sasa

Kinachonishangaza ni kwa nini hawataki kuifanyia mabadiliko ya kimuonekano kama wanavyofanya jamii forums mara kwa Mara

Je zipo sababu za msingi kwa wamiliki wa mtandao huu kutokutaka kufanya mabadiliko ya kimuonekano ya mtandao wao au ni kutokujali tu

Wenye majibu ya hili swali langu mnakalibishwa
 
Moja ya Forum kubwa kabsa Africa yaani JF pale inaingia mara 100000000000 kumbe wamebadili Theme??ngoja tuone
 
Nimekuwa mtembeleaji wa hii forum kubwa kabisa nchini Nigeria kama sio Africa kwa miaka mingi sana sasa

Kinachonishangaza ni kwa nini hawataki kuifanyia mabadiliko ya kimuonekano kama wanavyofanya jamii forums mara kwa Mara

Je zipo sababu za msingi kwa wamiliki wa mtandao huu kutokutaka kufanya mabadiliko ya kimuonekano ya mtandao wao au ni kutokujali tu

Wenye majibu ya hili swali langu mnakalibishwa
Nairaland wapumbavu sana, mi nilijiungaga nyuma kidogo, yani hata UI mbovu sana, bora tufie hapa JF tu.
 
Nairaland wapumbavu sana, mi nilijiungaga nyuma kidogo, yani hata UI mbovu sana, bora tufie hapa JF tu.
Mimi mwenyewe huwa najiuliza tatizo ni nini hasa maana kama ni pesa wanazo nyingi tu kumzidi melo
 
Mtoa mada unapindisha pindisha maneno go straight kuwaambia jamiiforums na sio mambo sijui ya nairaland
 
Hapa ni sawa nakuwashindanisha Steve Jobs(JF) na Bill gate(Nairaland)

Programmer wengi wako logically.
Hawawazi katika mwonekano wa nje , ila wanawazia functions.
Na ubaya wa Nairaland imetengenezwa na mtu mmoja na mpaka leo hataki kuajiri.
Ni jamaa ambaye amevuna Millions of Dollars kupitia Ads , ila hajawahi kutaka kufanya mbwembwe - yeye anacheza na functions tu.
Na pia jamaa mwenye kuitengeneza hapendagi umaarafu - nazani mara ya mwisho kuonekana alikuwa bado ni mwanafunzi

images (66).jpeg
 
Hii jamiiForum ndio kiboko kila mwaka mabadiliko, sijui ndio kwenda na wakati.

Kama ni ishu ya muonekano nafikiri hao nairaland wanataka kumatain uasilia wao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hii jamiiForum ndio kiboko kila mwaka mabadiliko, sijui ndio kwenda na wakati.

Kama ni ishu ya muonekano nafikiri hao nairaland wanataka kumatain uasilia wao

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hapana hakuna uasili wowote pale, kifupi ile forum haivutii kabisa huo ndio uhalisia, mi kwangu mimi JF ni bora katika UI forum nyingi tu, Tapatalk wako serious sana.
 
Back
Top Bottom