NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,206
- 12,736
Naam nimekua nikijiuliza maswali ya hapa na pale, kila siku yanga au simba katika hii ligi yetu, ni tofauti kabisa na ligi za wenzetu huko Morroco, southafrica nk.
Hivi ni kipi kinachowafanya Azam fc na wenzake washindwe kuwatoa kwenye reli hao mapacha (Simba na yanga) au Azam na wenzie hawahongi sana marefa/waamuzi ? Au Azam na wenzie hawalogi/hawafanyi ulozi maridhawa kama anavyoamini GENTAMYCINE katika ushirikina?
Au Azam na wenzie hawana vikosi Bora na benchi la ufundi Bora? Au Azam na wenzie makosa ya kibinadamu/ya marefa yanaawakuta wao mara kwa mara haswa wanapocheza na hizi timu pendwa Simba na Yanga?
Nini maoni yako ukiwa kama mdau wa mpira wa miguu hapa Tanzania?
Hivi ni kipi kinachowafanya Azam fc na wenzake washindwe kuwatoa kwenye reli hao mapacha (Simba na yanga) au Azam na wenzie hawahongi sana marefa/waamuzi ? Au Azam na wenzie hawalogi/hawafanyi ulozi maridhawa kama anavyoamini GENTAMYCINE katika ushirikina?
Au Azam na wenzie hawana vikosi Bora na benchi la ufundi Bora? Au Azam na wenzie makosa ya kibinadamu/ya marefa yanaawakuta wao mara kwa mara haswa wanapocheza na hizi timu pendwa Simba na Yanga?
Nini maoni yako ukiwa kama mdau wa mpira wa miguu hapa Tanzania?